Jamani, kutokana na ushuhuda mwingi ambayo nimesikia toka kwa watumishi wa Mungu, nawashauri akina baba wenye watoto wafanye DNA test za watoto wao, hasa kama watoto kama hawafanani kabisa na baba yao, ila wanasingiziwa kufanana na babu wa babu au bibi wa bibi etc.
Nimegundua kuwa kuwa akina baba wengi wanalea watoto wasio wao kutokana na kuwaamini sana wake zao, na baadhi yao (akina mama) baada ya kumjua Mungu wanashindwa waanzie wapi kuwafahamisha waume zao. Unaweza kufanya test tu hata bila ya kumwambia mama yao. Mtoto ana haki ya kumjua baba yake wa damu.
Nimegundua kuwa kuwa akina baba wengi wanalea watoto wasio wao kutokana na kuwaamini sana wake zao, na baadhi yao (akina mama) baada ya kumjua Mungu wanashindwa waanzie wapi kuwafahamisha waume zao. Unaweza kufanya test tu hata bila ya kumwambia mama yao. Mtoto ana haki ya kumjua baba yake wa damu.