Manofu
JF-Expert Member
- Nov 3, 2018
- 1,317
- 2,019
Wala aina aja ya kuzunguka kushoto na kulia kutafta nikwanini tufanye hvyo ila kama kuna binadamu hapa duniani aliwai kupigwa risasi ata saba akapona basi nafikiri ni wachache mno.
Napendekeza badala ya kukaa tunalumbana kama taifa mpaka tunajikuta tumegawanyika pande mbili, wanaompinga lissu na wanao msapoti lissu ni bora kwa moyo mkunjufu kabisa tukatafuna namna yakuingizia nchi foreign currencies kwa kupitia mgongo ww bwana uyu.
Napendekeza badala ya kukaa tunalumbana kama taifa mpaka tunajikuta tumegawanyika pande mbili, wanaompinga lissu na wanao msapoti lissu ni bora kwa moyo mkunjufu kabisa tukatafuna namna yakuingizia nchi foreign currencies kwa kupitia mgongo ww bwana uyu.