luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,864
Mkuu ukitazama iyo picha madhari imependeza na kuvutia sio kama enzi zile, ilo enwo litakuwa hot cake ngoja daraja la tanzanite lizinduliwe utafurahi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ukitazama iyo picha madhari imependeza na kuvutia sio kama enzi zile, ilo enwo litakuwa hot cake ngoja daraja la tanzanite lizinduliwe utafurahi
Mkuu Kamanda Asiyechoka, sio tunaleta jazba bali mambo mengine yanatia hasira, mfano kwenye hili la Coco Beach kubali tuu kuwa hujawahi kufika na ulikuwa hujui ni biashara gani inafanyika pale. Pale Coco Beach hakuna biashara ya bidhaa kusema wenzangu na mimi watakwenda kununua bidhaa au mahitaji, pale ni vibanda vya biashara moja tuu, makulaji ya vyakula, vitafunwa na mapochopocho only.Ahaaaa, naona unaleta jazba. WanaCcm mnamatatizo.
Sawa, makulaji na mapochopocho,lakini affordable kwa watu wa uswazi?Mkuu Kamanda Asiyechoka, sio tunaleta jazba bali mambo mengine yanatia hasira, mfano kwenye hili la Coco Beach kubali tuu kuwa hujawahi kufika na ulikuwa hujui ni biashara gani inafanyika pale. Pale Coco Beach hakuna biashara ya bidhaa kusema wenzangu na mimi watakwenda kununua bidhaa au mahitaji, pale ni vibanda vya biashara moja tuu, makulaji ya vyakula, vitafunwa na mapochopocho only.
P
Yes makulaji ya Coco Beach ni very affordable kwa watu wa kawaida kwa TZS 500, unakula msosi wa kushiba na kushushia kwa kinywaji.Sawa, makulaji na mapochopocho,lakini affordable kwa watu wa uswazi?
Ujinga ni kudhani sehemu inapaswa kuwa chafuchafu ili kuwaridhisha watu wa uswazi. Kama hawawez wabaki huko kwao kwani beach ni moja Dar?
Humu JF tuna baadhi ya watu ni viazi sana!. Mwanzo nimekuuliza wewe umewahi kufika Coco Beach?. Ukisikia tuu vibanda vya machinga, akili yako ilivyo fupi, ukadhani ni vibanda vya bidhaa!. Mmachinga na mbangaizaji aende Coco Beach kufuata nini?!.
Kule nimekuwekea hadi video za biashara inayofanyika Coco Beach, lakini bado unang'ang'ana!.
Hao wabangaizaji wengi wanaokaa uswazi na jioni ndio mida ya kununua vitu baada ya shughuli zake ndio kisha aende Coco beach?!. Aende Coco Beach kununua nini?!. Unadhani Coco Beach ni soko la kununua bidhaa?. Vitu vingine uliza!.
Haya sasa nakusaidia tena kwa mara ya pili, Wasikilize machinga wa Coco Beach utajua ni vibanda vya nini!.
Na kama bandle ni issue huwezi kufungua video, pia utasaidiwa!.
P
We jamaa wa wapi wewe...hapo inauzwa mihogo na mishikaki na vinywaji..mishikaki wanauza 100-300 kwa mmmoja..miihogo ipo ya 1000 nadhani...na ndo bei hiyo iliyokuweoo tangu na tangu..unataka serikaki Yako ikufanyie nn ili uondoe hayo makasirikoSawa, makulaji na mapochopocho,lakini affordable kwa watu wa uswazi?
Viongozi wetu hupenda mihemko ya kisiasa itakayowapatia kura kutoka kwa wajinga wasiojali maendeleo.