Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,879
- 8,800
Mimi nilidhani mipango ya kujenga ubungo interchange na upanuzi wa barabara ya Morogoro kuwa njia sita,tatu kila upande from Ubungo to Chalinze ilikuwa ni mkakati wa kupunguza kama si kuondoa kabisa msongamano katika barabara hiyo na kuwawezesha watanzania kupunguza gharama zinazosababishwa na msongamano huo.
Sasa badala ya kupunguza msongamano kama plan ya kwanza iliyokuwa,naona sasa tunahamisha foleni toka Ubongo na kuipeleka Mbezi ili kesho atokee malaika mwingine aje kutatua tatizo la foleni Mbezi,hatari sana.
Sasa badala ya kupunguza msongamano kama plan ya kwanza iliyokuwa,naona sasa tunahamisha foleni toka Ubongo na kuipeleka Mbezi ili kesho atokee malaika mwingine aje kutatua tatizo la foleni Mbezi,hatari sana.