Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,879
- 8,800
- Thread starter
- #101
unaandika wewe harafu aibu naona mimiNimesema Juu pale kama huna ufahamu na jambo bora utulie ndugu.. Kila nchi ina design standard zake.. na hata contractor aje wa nchi gani hatakiwi kuvunja hizo standards zinavyohitaji.. Kwa Tanzania Barabara ya Lami design standard yake ni miaka 20, na barabara ya Kiwango cha Zege (Rig Pavement) ni Miaka 50.. na kwa utaalamu wangu wote hakuna pahala duniani wanaweka barabara kwa design standard ya miaka 1000, Hakuna!