GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,546
- 108,876
Kama kuna Mkoa ambao huwa nikisikia kuwa imefanya vyema hasa katika Matokeo ya Kidato cha Nne na cha Sita hasa kutokana na jinsi ambavyo Wanafunzi wa Shule za Sekondari wa Mkoa huo walivyo na tunavyojuana nao hata Kimtaa mtaa ( Kisela ) huku na wengine hata tukikutana nao katika Harakati zetu za Kingono bila Kusahau Kucheza Kamari si Mkoa mwingine bali ni Mkoa wa Dar es Salaam.
Tusidanganyane hapa Matokeo ya Mkoa wa Dar es Salaam nahisi yatakuwa yanapikwa mno na Watendaji ( Wahusika ) kwa Uwoga wa mwenye Mkoa wake ili wenye Mamlaka ya Elimu kwa Mkoa wasitumbuliwe au hata Kufanyiziwa vile vile kwani mwenye Mkoa wake hataki Kingine zaidi ya Sifa ili aliyemteua azidi Kumuamini na Kumbakisha hapa nae aendelee zake Kula Bata.
Kuna Mikoa ambayo nikiambiwa imefanya vyema Kidato cha Nne na cha Sita wala sishangai ila kwa Mkoa wa Dar es Salaam na kwa aina ya hawa Wanafunzi ambao tunao na tunajuana nao 24/7 leo hii uniambie Wamefaulu na Mkoa umeongoza nitabisha hadi Siku ya Kiama.
Nikisikia Mikoa kama vile Mara, Kagera, Kigoma, Dodoma, Singida, Ruvuma, Kilimanjaro, Arusha, Mbeya, Iringa, Mtwara na Rukwa imefanya vyema nitakubaliana nao hao NECTA kwani siyo Siri hii Mikoa ndiyo inaongoza pia kwa kuwa na Watu wenye Akili ( Upeo ) mkubwa nchini Tanzania japo kwa bahati mbaya hata Mimi Mleta Uzi huu An Eagle sitokei katika Mkoa wowote tajwa hapo juu lakini siyo kwa huu wa Dar es Salaam ninaoujua Mimi.
Hapa tusidanganyane!
Tusidanganyane hapa Matokeo ya Mkoa wa Dar es Salaam nahisi yatakuwa yanapikwa mno na Watendaji ( Wahusika ) kwa Uwoga wa mwenye Mkoa wake ili wenye Mamlaka ya Elimu kwa Mkoa wasitumbuliwe au hata Kufanyiziwa vile vile kwani mwenye Mkoa wake hataki Kingine zaidi ya Sifa ili aliyemteua azidi Kumuamini na Kumbakisha hapa nae aendelee zake Kula Bata.
Kuna Mikoa ambayo nikiambiwa imefanya vyema Kidato cha Nne na cha Sita wala sishangai ila kwa Mkoa wa Dar es Salaam na kwa aina ya hawa Wanafunzi ambao tunao na tunajuana nao 24/7 leo hii uniambie Wamefaulu na Mkoa umeongoza nitabisha hadi Siku ya Kiama.
Nikisikia Mikoa kama vile Mara, Kagera, Kigoma, Dodoma, Singida, Ruvuma, Kilimanjaro, Arusha, Mbeya, Iringa, Mtwara na Rukwa imefanya vyema nitakubaliana nao hao NECTA kwani siyo Siri hii Mikoa ndiyo inaongoza pia kwa kuwa na Watu wenye Akili ( Upeo ) mkubwa nchini Tanzania japo kwa bahati mbaya hata Mimi Mleta Uzi huu An Eagle sitokei katika Mkoa wowote tajwa hapo juu lakini siyo kwa huu wa Dar es Salaam ninaoujua Mimi.
Hapa tusidanganyane!