GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,548
- 108,858
Najua baadhi mtamtetea ila kama Waziri na Kiitifaki ( kwa Ugeni wa Leo wa Waziri Mkuu Uwanjani ) alipaswa kuhakikisha Maandalizi yote ya Mchezo yako tayari na hakuna tatizo lolote lile.
Tokea anateuliwa katika Nafasi hiyo GENTAMYCINE nilisema Waziri huyu Pindi Chana (Chawa wa Mama) ni Mzigo na Incompetent kwa Wizara husika, ila kama kawaida sikueleweka na Wasiojua Kufikiri.
Na kwa Upuuzi tulioufanya/ uliofanyika Uwanja wa Mkapa kwa Taa zake kutokuwaka kwa zaidi ya dakika 25 hadi 30 Tanzania tutapigwa Faini Kubwa tu kwani kilichofanyika ni Uzembe mkubwa.
Tokea anateuliwa katika Nafasi hiyo GENTAMYCINE nilisema Waziri huyu Pindi Chana (Chawa wa Mama) ni Mzigo na Incompetent kwa Wizara husika, ila kama kawaida sikueleweka na Wasiojua Kufikiri.
Na kwa Upuuzi tulioufanya/ uliofanyika Uwanja wa Mkapa kwa Taa zake kutokuwaka kwa zaidi ya dakika 25 hadi 30 Tanzania tutapigwa Faini Kubwa tu kwani kilichofanyika ni Uzembe mkubwa.