Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 12,959
- 26,024
Wakuu kwa Afrika ukiwa na kauwezo kidogo basi ni matatizo zaidi, watu wanaona matatizo yote umeshayamaliza na kilichobaki ni kutatua matatizo yao.
Na usipofanya hivyo basi utapigwa vita za kila aina na kuonekana una roho mbaya na mkatili sana. Kibaya ni kwamba wanakuwa hawajui yaliyo nyuma ya pazia..
Kuna muda unaweza pewa majukumu yaliyo nje ya uwezo wako, na kuyakataa waziwazi unashindwa.
Wana JF Wenye pesa, mnakabiliana vipi na hizi changamoto?
Na usipofanya hivyo basi utapigwa vita za kila aina na kuonekana una roho mbaya na mkatili sana. Kibaya ni kwamba wanakuwa hawajui yaliyo nyuma ya pazia..
Kuna muda unaweza pewa majukumu yaliyo nje ya uwezo wako, na kuyakataa waziwazi unashindwa.
Wana JF Wenye pesa, mnakabiliana vipi na hizi changamoto?