Uchaguzi 2020 Kuzuia watu kwenda Barabarani, Tume ya Uchanguzi fanyeni hili...

S.M.P2503

JF-Expert Member
Nov 25, 2008
1,643
2,607
Inavyooneka watu kwenda barabarani ni jambo linalotishia na na kuogepesha sana hasa kuhusu utulivu na amani ya nchi ...

watu kwenda barabarani ni kwenda kutafuta haki yao kwa namna moja au nyingine.

Ili kutoa haki:

Nawashauri tume ya uchaguzi - NEC wahesabu Kura pale pale zilipopigiwa na wapiga kura wapewe matokeo yao hapo hapo baada ya upigaji kura.

Utaratibu huu ni mzuri na ni utaratibu ulifanyiwa majaribio na vyama vikubwa viwili -CCM pia CDM na unaonekana unafaa...mambo ya uwazi na ukweli kumuenxi Mzee Mkapa.

Hakuna sababu ya kubeba mabox kwenda sehemu sijui wapi kuhesabu tena...au kuhakiki..uhesabuji na uhakiki ufanyike vituoni;

NEC wapelekewe tu jumla ya matokea vituoni kwa njia ya mtandano/ internet ambayo itakakuwa live kama kule Kenya walivyofanya na ndio tutajua mshindi ni nani bila manung'uniko au wala hizi mambo ya kuwaingiza watu barabarani...

Mwisho
kama kila kituo ni wapiga kura 500, haitawachukua hata masaa mawili kuhesabu hizo kura na kuhakiki kabla ya kutangaza hapo hapo ni nani mshindi wa kituo.

Ni hayo tu kwa leo, Nguchiro, mchwa na sisimizi wanaishi nyumba moja bila mkwaruzo, iweje sisi watanzania tushindwe?
 
Inavyooneka watu kwenda barabarani ni jambo linalotishia na na kuogepesha sana hasa kuhusu utulivu na amani ya nchi ...

watu kwenda barabarani ni kwenda kutafuta haki yao kwa namna moja au nyingine.

Ili kutoa haki:

Nawashauri tume ya uchaguzi - NEC wahesabu Kura pale pale zilipopigiwa na wapiga kura wapewe matokeo yao hapo hapo baada ya upigaji kura.

Utaratibu huu ni mzuri na ni utaratibu ulifanyiwa majaribio na vyama vikubwa viwili -CCM pia CDM na unaonekana unafaa...mambo ya uwazi na ukweli kumuenxi Mzee Mkapa.

Hakuna sababu ya kubeba mabox kwenda sehemu sijui wapi kuhesabu tena...au kuhakiki..uhesabuji na uhakiki ufanyike vituoni;

NEC wapelekewe tu jumla ya matokea vituoni kwa njia ya mtandano/ internet ambayo itakakuwa live kama kule Kenya walivyofanya na ndio tutajua mshindi ni nani bila manung'uniko au wala hizi mambo ya kuwaingiza watu barabarani...

Mwisho
kama kila kituo ni wapiga kura 500, haitawachukua hata masaa mawili kuhesabu hizo kura na kuhakiki kabla ya kutangaza hapo hapo ni nani mshindi wa kituo.

Ni hayo tu kwa leo, Nguchiro, mchwa na sisimizi wanaishi nyumba moja bila mkwaruzo, iweje sisi watanzania tushindwe?
Na huu ndo utaratibu wa mwaka huu. Kura zinapigwa kituoni, wananchi wanalinda kura zao na wanashuhudia zikihesabiwa kituoni na mwisho matokeo yote yanatangzwa hapo hapo kituoni mbele ya wananchi kuanzia udiwani, ubunge hadi uraisi. Hakuna kura kuhamishwa kwenda kituo kingine au halmashauri mwaka huu.

No hate No fear
 
Inavyooneka watu kwenda barabarani ni jambo linalotishia na na kuogepesha sana hasa kuhusu utulivu na amani ya nchi ...

watu kwenda barabarani ni kwenda kutafuta haki yao kwa namna moja au nyingine.

Ili kutoa haki:

Nawashauri tume ya uchaguzi - NEC wahesabu Kura pale pale zilipopigiwa na wapiga kura wapewe matokeo yao hapo hapo baada ya upigaji kura.

Utaratibu huu ni mzuri na ni utaratibu ulifanyiwa majaribio na vyama vikubwa viwili -CCM pia CDM na unaonekana unafaa...mambo ya uwazi na ukweli kumuenxi Mzee Mkapa.

Hakuna sababu ya kubeba mabox kwenda sehemu sijui wapi kuhesabu tena...au kuhakiki..uhesabuji na uhakiki ufanyike vituoni;

NEC wapelekewe tu jumla ya matokea vituoni kwa njia ya mtandano/ internet ambayo itakakuwa live kama kule Kenya walivyofanya na ndio tutajua mshindi ni nani bila manung'uniko au wala hizi mambo ya kuwaingiza watu barabarani...

Mwisho
kama kila kituo ni wapiga kura 500, haitawachukua hata masaa mawili kuhesabu hizo kura na kuhakiki kabla ya kutangaza hapo hapo ni nani mshindi wa kituo.

Ni hayo tu kwa leo, Nguchiro, mchwa na sisimizi wanaishi nyumba moja bila mkwaruzo, iweje sisi watanzania tushindwe?
Mawazo yako ni mfu maana hatutakuwa na ujanja wa kuiba kura
 
Inavyooneka watu kwenda barabarani ni jambo linalotishia na na kuogepesha sana hasa kuhusu utulivu na amani ya nchi ...

watu kwenda barabarani ni kwenda kutafuta haki yao kwa namna moja au nyingine.

Ili kutoa haki:

Nawashauri tume ya uchaguzi - NEC wahesabu Kura pale pale zilipopigiwa na wapiga kura wapewe matokeo yao hapo hapo baada ya upigaji kura.

Utaratibu huu ni mzuri na ni utaratibu ulifanyiwa majaribio na vyama vikubwa viwili -CCM pia CDM na unaonekana unafaa...mambo ya uwazi na ukweli kumuenxi Mzee Mkapa.

Hakuna sababu ya kubeba mabox kwenda sehemu sijui wapi kuhesabu tena...au kuhakiki..uhesabuji na uhakiki ufanyike vituoni;

NEC wapelekewe tu jumla ya matokea vituoni kwa njia ya mtandano/ internet ambayo itakakuwa live kama kule Kenya walivyofanya na ndio tutajua mshindi ni nani bila manung'uniko au wala hizi mambo ya kuwaingiza watu barabarani...

Mwisho
kama kila kituo ni wapiga kura 500, haitawachukua hata masaa mawili kuhesabu hizo kura na kuhakiki kabla ya kutangaza hapo hapo ni nani mshindi wa kituo.

Ni hayo tu kwa leo, Nguchiro, mchwa na sisimizi wanaishi nyumba moja bila mkwaruzo, iweje sisi watanzania tushindwe?

Huu utakuwa mtiani mkubwa sana kwa serikali ya ccm, kwani wakifanya hivyo utakuwa ndio mwisho wa utawala wao.
 
Inavyooneka watu kwenda barabarani ni jambo linalotishia na na kuogepesha sana hasa kuhusu utulivu na amani ya nchi ...

watu kwenda barabarani ni kwenda kutafuta haki yao kwa namna moja au nyingine.

Ili kutoa haki:

Nawashauri tume ya uchaguzi - NEC wahesabu Kura pale pale zilipopigiwa na wapiga kura wapewe matokeo yao hapo hapo baada ya upigaji kura.

Utaratibu huu ni mzuri na ni utaratibu ulifanyiwa majaribio na vyama vikubwa viwili -CCM pia CDM na unaonekana unafaa...mambo ya uwazi na ukweli kumuenxi Mzee Mkapa.

Hakuna sababu ya kubeba mabox kwenda sehemu sijui wapi kuhesabu tena...au kuhakiki..uhesabuji na uhakiki ufanyike vituoni;

NEC wapelekewe tu jumla ya matokea vituoni kwa njia ya mtandano/ internet ambayo itakakuwa live kama kule Kenya walivyofanya na ndio tutajua mshindi ni nani bila manung'uniko au wala hizi mambo ya kuwaingiza watu barabarani...

Mwisho
kama kila kituo ni wapiga kura 500, haitawachukua hata masaa mawili kuhesabu hizo kura na kuhakiki kabla ya kutangaza hapo hapo ni nani mshindi wa kituo.

Ni hayo tu kwa leo, Nguchiro, mchwa na sisimizi wanaishi nyumba moja bila mkwaruzo, iweje sisi watanzania tushindwe?
mkuu wazo zuri sana amani ya tz kwanza vyama badae mwaka huu alieshinda ashinde kialali maisha mengine yaendelee
 
Inavyooneka watu kwenda barabarani ni jambo linalotishia na na kuogepesha sana hasa kuhusu utulivu na amani ya nchi ...

watu kwenda barabarani ni kwenda kutafuta haki yao kwa namna moja au nyingine.

Ili kutoa haki:

Nawashauri tume ya uchaguzi - NEC wahesabu Kura pale pale zilipopigiwa na wapiga kura wapewe matokeo yao hapo hapo baada ya upigaji kura.

Utaratibu huu ni mzuri na ni utaratibu ulifanyiwa majaribio na vyama vikubwa viwili -CCM pia CDM na unaonekana unafaa...mambo ya uwazi na ukweli kumuenxi Mzee Mkapa.

Hakuna sababu ya kubeba mabox kwenda sehemu sijui wapi kuhesabu tena...au kuhakiki..uhesabuji na uhakiki ufanyike vituoni;

NEC wapelekewe tu jumla ya matokea vituoni kwa njia ya mtandano/ internet ambayo itakakuwa live kama kule Kenya walivyofanya na ndio tutajua mshindi ni nani bila manung'uniko au wala hizi mambo ya kuwaingiza watu barabarani...

Mwisho
kama kila kituo ni wapiga kura 500, haitawachukua hata masaa mawili kuhesabu hizo kura na kuhakiki kabla ya kutangaza hapo hapo ni nani mshindi wa kituo.

Ni hayo tu kwa leo, Nguchiro, mchwa na sisimizi wanaishi nyumba moja bila mkwaruzo, iweje sisi watanzania tushindwe?
Kura zihesabiwa wazi polisi wakae mita 200 mbali na vituo vya kura zifungwe camera vituo vyote vya kura ili kurekodi ushahidi wote,ili kuepusha udanganyifu.
 
Huu utakuwa mtiani mkubwa sana kwa serikali ya ccm, kwani wakifanya hivyo utakuwa ndio mwisho wa utawala wao.
Mbona mgombea wao anakubalika amefanya makubwa kuliko hata wakoloni, wanamiliki kila kitu kuanzia tume, polisi, diamond,alikiba, harmonize sidhani Kama Wana haja ya kuogopa uwazi
 
Hili ni wazo zuri sana, kama ccm wameutumia na hakukuwa na malalamiko na cdm hivyo hivyo basi NEC haina haja ya kwenda na mtindo mwingine.
Inavyooneka watu kwenda barabarani ni jambo linalotishia na na kuogepesha sana hasa kuhusu utulivu na amani ya nchi ...

watu kwenda barabarani ni kwenda kutafuta haki yao kwa namna moja au nyingine.

Ili kutoa haki:

Nawashauri tume ya uchaguzi - NEC wahesabu Kura pale pale zilipopigiwa na wapiga kura wapewe matokeo yao hapo hapo baada ya upigaji kura.

Utaratibu huu ni mzuri na ni utaratibu ulifanyiwa majaribio na vyama vikubwa viwili -CCM pia CDM na unaonekana unafaa...mambo ya uwazi na ukweli kumuenxi Mzee Mkapa.

Hakuna sababu ya kubeba mabox kwenda sehemu sijui wapi kuhesabu tena...au kuhakiki..uhesabuji na uhakiki ufanyike vituoni;

NEC wapelekewe tu jumla ya matokea vituoni kwa njia ya mtandano/ internet ambayo itakakuwa live kama kule Kenya walivyofanya na ndio tutajua mshindi ni nani bila manung'uniko au wala hizi mambo ya kuwaingiza watu barabarani...

Mwisho
kama kila kituo ni wapiga kura 500, haitawachukua hata masaa mawili kuhesabu hizo kura na kuhakiki kabla ya kutangaza hapo hapo ni nani mshindi wa kituo.

Ni hayo tu kwa leo, Nguchiro, mchwa na sisimizi wanaishi nyumba moja bila mkwaruzo, iweje sisi watanzania tushindwe?
 
Ccm wameutumia kwenye chaguzi zao, sasa basi waruhusu utumike hata kwenye uchaguzi mkuu italeta amani.
Inawezekana kabisa. Na ndiyo dawa ya kuzuia watu "WASIINGIE BARABARANI" na ndiyo tiba ya HOFU ya wanaoogopa watu kudai haki yao kwa kuingia barabarani...!!
 
Ikiwa hivyo mbona tanzania hatutakuwa na haja ya kutumia magari ya kurusha maji ya kuwasha
Na huu ndo utaratibu wa mwaka huu. Kura zinapigwa kituoni, wananchi wanalinda kura zao na wanashuhudia zikihesabiwa kituoni na mwisho matokeo yote yanatangzwa hapo hapo kituoni mbele ya wananchi kuanzia udiwani, ubunge hadi uraisi. Hakuna kura kuhamishwa kwenda kituo kingine au halmashauri mwaka huu.

No hate No fear
 
Back
Top Bottom