Not_Yet_Uhuru
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,304
- 431
Kitendo cha watendaji wa serikali kuzuia wastaafu wa Afrika Mashariki kufanza maandamano yao kudai haki zao zilizokwamishwa na serikali kwa miaka zaidi ya 30, ni ishara gani? Ni woga au sababu za serikali zinakidhi kumzuia haki za kikatiba za wazee hawa? Kwa mtizamo huu, haki ya kikatiba inaminywa kwa woga wa watawala, hadi lini?