Kuzuia wastaafu wa Afrika Mashariki kuandamana, Huu ni Woga au nini?

Not_Yet_Uhuru

JF-Expert Member
Oct 11, 2010
1,304
431
Kitendo cha watendaji wa serikali kuzuia wastaafu wa Afrika Mashariki kufanza maandamano yao kudai haki zao zilizokwamishwa na serikali kwa miaka zaidi ya 30, ni ishara gani? Ni woga au sababu za serikali zinakidhi kumzuia haki za kikatiba za wazee hawa? Kwa mtizamo huu, haki ya kikatiba inaminywa kwa woga wa watawala, hadi lini?
 
Uchaguzi umemalizika tayari - Na wale ambao walikataa kupiga kura itakula kwao going forward
 
Wamenyimwa vibali kutoka ubalozi wa uingereza,maandamano yalitarajia kuanzi hapo.
 
Back
Top Bottom