johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,736
- 141,599
Binafsi sioni tija yoyote katika kuzuia mikutano ya kisiasa kwa sababu uchaguzi mkuu wa 2020 ulikuwa mgumu zaidi kwa CCM kuliko ule wa 2015.
Kuzuia mikutano ni mbinu za kikoloni ambazo hazikuwasaidia lolote wakoloni wa enzi hizo.
Natamani awamu ya 6 ije kisasa zaidi, Wapinzani wanakabilika tusiwaogope.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Kuzuia mikutano ni mbinu za kikoloni ambazo hazikuwasaidia lolote wakoloni wa enzi hizo.
Natamani awamu ya 6 ije kisasa zaidi, Wapinzani wanakabilika tusiwaogope.
Nawasalimu kwa jina la JMT!