Habari za usiku jamvini,
Kuzuia kwa kurusha maudhui ya nje ya nchi katika vyombo vya habari, tutegemee nini?. Kwenye international trade kuna kitu kijaitwa “retaliation” au majibizo ya kisasi.
Mfano; Nchi zingine zikizuia pia kuonyesha maudhui ya Tanzania itakuaje?
1. Matangazo ya vivutio vya kitalii Tanzania ykifungiwa, inamaana ndio kifo cha utaliu Tanzania?
2. Wasanii, yaani muziki na filamu kazi zao zikizuiwa nchi za nje, inamaa hata fedha za kigeni zitapungua. Diamond, Alikiba na wengine wakienda matamasha huwa wanalipwa hivyo tunapata fedha za kigeni. Hivyo tunaua soko?
3. Matangazo ya biashara na taarifa kwa wawekezaji wageni zikisitishwa itakuaje? Je tunaua soko letu na mvuto wa kibiashara nje ya nchi?
Nakaribisha maoni.
Kuzuia kwa kurusha maudhui ya nje ya nchi katika vyombo vya habari, tutegemee nini?. Kwenye international trade kuna kitu kijaitwa “retaliation” au majibizo ya kisasi.
Mfano; Nchi zingine zikizuia pia kuonyesha maudhui ya Tanzania itakuaje?
1. Matangazo ya vivutio vya kitalii Tanzania ykifungiwa, inamaana ndio kifo cha utaliu Tanzania?
2. Wasanii, yaani muziki na filamu kazi zao zikizuiwa nchi za nje, inamaa hata fedha za kigeni zitapungua. Diamond, Alikiba na wengine wakienda matamasha huwa wanalipwa hivyo tunapata fedha za kigeni. Hivyo tunaua soko?
3. Matangazo ya biashara na taarifa kwa wawekezaji wageni zikisitishwa itakuaje? Je tunaua soko letu na mvuto wa kibiashara nje ya nchi?
Nakaribisha maoni.