kwanini isiwe ya kweli??
kumbukeni alishinda kwa kishindo na kuna watu walikua wanafaidi pesa zake kutokana na fitna za kisiasa, sasa watakula wapi??
lazima wazimie hao
Hata Pablo Escobar alipendwa sana huko kwao,na wahalifu wote ambao hutumia umasikini wa watu kujifanya wanawajali hupendwa mno hata kama unga wanaouza unawaharibu wao wenyewe,dunia ya masikini mtu makini na muadailifu huwa hapendwi.Hayo maendeleo utalinganisha na Kagoda ,EPA ,Richmond,je madhara yake kwa taifa ndio manufaa ya Igunga /tuache unafiki ,ingekuwa China jamaa angekuwa historia.Narudia tena watu wa igunga njaa zenu zitawaua.
kwanza najiuliza walijuaje kama anajiuzulu hadi watu wote waje na mabango hadi kutoka Urambo?
Ni kweli kabisa.Tabora mji wa kimwinyi ule watu wavivu kazi yao kunywa gahawa tu. huyu mbunge wao si mtu wa porojo, pesa tu ilikuwa inazungumza tena vi shs alfu tano tano alfu km wale wazee wa ccm wanaridhika na ndo maana umeona wale wazee wa ccm wakizimia maana walishazoe kulilia njaa kwa fisadi
Ndiyo nguvu ya fedha. Angeweza hata kukodisha hata watu wa kucheka na wakafanya hivyo. Fedha siyo mchezo jamani.kumbe nyie ndo mlikuwa mnalia?
Ndiyo nguvu ya fedha. Angeweza hata kukodisha hata watu wa kucheka na wakafanya hivyo. Fedha siyo mchezo jamani.
wanyamwezi kwa kuwaabudu waarabu ,huwaambii kitu
Asante kwa kuliweka hili sawa; nami nilitaka kutoa comment ya namna hiyo! Lkn sitetei wizi wa RA ila aliwekeza sana kwenye siasa za jimboni mwake kwa kuexploit, umbumbumbu na umaskini wa wananchi wake! I am sure hata kama angekuwa Moshi na angefanya equivalent (coz najua development projects/needs hazilingani) yale wanayosema kawafanyia wanaigunga Moshi, l am sure wachaga wangeumia kuondoka kwake!Wakazi wa igunga wasukuma na wanyilamba ndo wengi wanyamwezi ni wa 3 kwa wingi jimboni