
- Joined
- Feb 18, 2009
- Messages
- 3,291
- Likes
- 3,238
- Points
- 280

Akili Unazo!
JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2009



Wakubwa wengi wamekuwa wakiona ninavyopinga kuharalisha kuzini kama tendo la ndoa.Kuzini ni kufanya uingiliano kati ya mwanamume na mwanamke asiye mke au mume wako.
Kwa maana nyingine ni kufanya maingiliano ya kindoa kati ya mwanamke na mwanamume pasipo baraka au uhalarisho wa jamii inayokuzunguka.
Muingiliano wowote kati ya mwanamke na mwanamke katika mahusiano ya boyfriend au girlfriend au nyumba ndogo au buzz au ATM au baba mtoto wako au mama mtoto wako asiye na baraka au ubarikio wa jamii inayokuzunguka basi ni uzinifu tu period
Wakubwa ni mtazamo tu
Kwa maana nyingine ni kufanya maingiliano ya kindoa kati ya mwanamke na mwanamume pasipo baraka au uhalarisho wa jamii inayokuzunguka.
Muingiliano wowote kati ya mwanamke na mwanamke katika mahusiano ya boyfriend au girlfriend au nyumba ndogo au buzz au ATM au baba mtoto wako au mama mtoto wako asiye na baraka au ubarikio wa jamii inayokuzunguka basi ni uzinifu tu period
Wakubwa ni mtazamo tu