Kuzingatia "vichwa": Wanawake sio ubaguzi huu??

NECTA tunaomba matokeo yawe siri! kha!

Tatizo mnafikiri kujua kuwa mtu ni "bongolala" au "kichwa" kunapimwa kwa matokeo ya NECTA peke yake. Ni mambo mengi yanaweza kukufanya utambue aina ya mwanaume anayekutokea bila hata kujua NECTA waliotoa matokea ya aina gani maana hakuna anayeomba vyeti vya shule katika hayo masuala. Bongolala hajifichi kirahisi.
 
i concur with the lady ..as i normally do the same when chossing my partners..hakuna haja ya kudate kilaza..as sina muda wa kulipia sups na reseating for exams kila mwaka for my Kids...God forbid..but kutokana na kuwa kichwa huwaga napenda kuwa na mwanamke anayenichallenge kimawazo na sio mwanamke anayekubaliana na kila jambo ninalosema..when i want to date a woman i take her out i engege her in a conversation kupima uwezo wake..na nikigundua kuwa anamawazo chanya basi nakua nae..i need challenges man..maisha ni kuchagua..
 
mi rasterman banaaa.. flycatcher,ndo maana niko MASAI CAMP au VIA VIA na mendea mademu wa kitashaaa,maana najuaa watoto ma africasti wanawini sanaa maisha,maana kama wadada wanachagua up stea mi na down stea.KUDADADEKI
 
Katika stori na mdada fulani ambaye tumefahamiana mda mrefu aliniambia kuwa ana mimba, but sio ya boyfriend wake. Nilianza kumshushia lawama za u-infidelity hadi akapata mimba 'nje', yeye akasema hapana, it was planned. Anasema boyfriend aliye naye hawana mpango wa kuoana, bali kuondoleana upweke.

Akasema kwa age aliyo nayo, hana tena mpango wa kuolewa na ameamua kuzaa akizingatia kuwa ana kipato kizuri so kujilea na kulea watoto walau wawili sio shida kwake.

Then nikamuuliza why asizae na huyo boyfriend, akasema amemsoma akagundua kichwani sio mkali sana. Anasema huyo jamaa hata darasani hakuwa 'mzuri', na pamoja na kusoma shule nzuri matokeo yake hayakuwa ya kuridhisha.

So, ameamua kwenda kuzaa na mtu mwingine (tena mme wa mtu), ambaye anaijua historia yake kuwa darasani zilikuwa zinachemka kisawasawa, na hata kazini alipo sasa wanamkubali.

Eti ameamua kufanya hivyo kwani anajijua hata yeye sio kichwa sana, so anaona akizaa na mtu kama yeye tena, mtoto atakayezaliwa hata kuandika jina lake itahitajika kazi kubwa.

Anaamini akizaa na mwanaume 'kichwa' uwezekano wa kupata 'average' au 'kakichwa' ni mkubwa!!!! na nasema siku hizi wapo wanawake wengi tu wanafanya hivyo, wengine wakichagua wacheza mpira, wanamuziki, waigizaji maarufu nk ili tu watoto ikitokea waje wafananie baba zao ...

Ingawa alisimamia sana hoja yake, but mwishoni mi nilibaki na msimamo wangu kuwa huo ni ubaguzi kwani tukiangalia mambo kama hayo, wale 'mabongolala' tutakuwa extincted.

Kama kuna mwanamke ana mawazo kama haya humu, naomba tu ayaache, na aache ubaguzi...

Eehe, he, he yakupasa kuelewa akili ya darasani iko pale pale na akili ya maisha iko pale pale. Genetic haiko huko unakofkiria kwa saana inategeme if other factors remain constant
 
wanaume wenyewe siku hizi wanataka wanawake waliosoma at least dipl kama sio degree, ulijiuliza kua wanawake wasio na hizi degree itakuaje? au unauliza tu hapa kujifurahisha na kumtetea mwenzio?

Katika stori na mdada fulani ambaye tumefahamiana mda mrefu aliniambia kuwa ana mimba, but sio ya boyfriend wake. Nilianza kumshushia lawama za u-infidelity hadi akapata mimba 'nje', yeye akasema hapana, it was planned. Anasema boyfriend aliye naye hawana mpango wa kuoana, bali kuondoleana upweke.

Akasema kwa age aliyo nayo, hana tena mpango wa kuolewa na ameamua kuzaa akizingatia kuwa ana kipato kizuri so kujilea na kulea watoto walau wawili sio shida kwake.

Then nikamuuliza why asizae na huyo boyfriend, akasema amemsoma akagundua kichwani sio mkali sana. Anasema huyo jamaa hata darasani hakuwa 'mzuri', na pamoja na kusoma shule nzuri matokeo yake hayakuwa ya kuridhisha.

So, ameamua kwenda kuzaa na mtu mwingine (tena mme wa mtu), ambaye anaijua historia yake kuwa darasani zilikuwa zinachemka kisawasawa, na hata kazini alipo sasa wanamkubali.

Eti ameamua kufanya hivyo kwani anajijua hata yeye sio kichwa sana, so anaona akizaa na mtu kama yeye tena, mtoto atakayezaliwa hata kuandika jina lake itahitajika kazi kubwa.

Anaamini akizaa na mwanaume 'kichwa' uwezekano wa kupata 'average' au 'kakichwa' ni mkubwa!!!! na nasema siku hizi wapo wanawake wengi tu wanafanya hivyo, wengine wakichagua wacheza mpira, wanamuziki, waigizaji maarufu nk ili tu watoto ikitokea waje wafananie baba zao ...

Ingawa alisimamia sana hoja yake, but mwishoni mi nilibaki na msimamo wangu kuwa huo ni ubaguzi kwani tukiangalia mambo kama hayo, wale 'mabongolala' tutakuwa extincted.

Kama kuna mwanamke ana mawazo kama haya humu, naomba tu ayaache, na aache ubaguzi...
 
eeeh leo nimefunguliwa sikuyajua haya...mahusiano ya sasa yamekuwa na masharti na vigezo kuzingatiwa!!!!???....
mi nilikuwa naenda enda tu bila mashart,nami ngoja nianze hilo...:eek2::eek2:

jifunze kujiwekea vigezo, atleast hasara zinapungua, kwa mfano mwanaume mwenye akili ila malaya, ntapata faida ya watoto wenye akili, umalaya wake itakuwa ni loss kwangu ila sio kwa kila kitu kama ambavyo ningekuwa na mwanaume bongolala, watoto matahira
 
Zamani nilikuwa mkali darasani mapenzi yakanitoa namba moja darasani daa nikikumbuka huwaga nalia ila sio mbaya nina ka degree kangu kauzushi sijui na mimi nitatengwa?

hahahahah hutengwi bwana! tembea tu na vyeti vyako! ukitaka kuaproach itabidi umwonyeshee kabisa atazame!
 
Tatizo mnafikiri kujua kuwa mtu ni "bongolala" au "kichwa" kunapimwa kwa matokeo ya NECTA peke yake. Ni mambo mengi yanaweza kukufanya utambue aina ya mwanaume anayekutokea bila hata kujua NECTA waliotoa matokea ya aina gani maana hakuna anayeomba vyeti vya shule katika hayo masuala. Bongolala hajifichi kirahisi.
unamkuta mwanaume darasa la saba, lakini tajiri ile mbaya, mpaka ubunge anagombea na kupata ! Hii imekaaje !?
 
Unajua sheria ya nature inataka only the fittest to survive
Zamani kua fit ilikua ni kukimbia, kuwinda na kulima sana
Leo kua fit ni uwezo wa kufikiria, uwezo wa kazi nzuri etc.
Basi dada katumia law of nature selection, only the fittest...
But sijui kama akili nazo ni hereditary kama anavo pendekeza

Mbona wasomi ndio wa kwanza kuambiwa hawana future kama wafanyabiashara wa kariakoo?
 
It is naturally, kama kichwani zinapanda, utasoma fani zilizokuwa bomba na maisha yako yatakuwa bomba tu, ni nadra sana kukuta mtu kichwani mwake kunacharge, yupo kwenye fani nzuri na kipato kizuri akawa yupo ovyo.
Always upata mdada wa social stutus yako na kutoa watoto wenye uwezo wa kiakili kama nyie.
Naiunga mguu mada.
 
hyo dada anajdanganya coz according to genetic intelligence is both heridity(yan inaweza kurithiwa) and environmental factor(yan sababu za kimazingira) this means hata baba na mama wawe na akil vp...ndio mtoto atakuwa na gene ya intelligence bt km environment haijamsupport hyo mtoto bas hyo gene haitafanya kaz yeyote! mfano mzur unakuta watoto wng baba na mama msom bt mtoto kilaza! y? coz environmental factor haijawa supported kwa hyo mtoto. na hi e.factor consist wth thngs lik frnds, skul lyf, hm lyf etc
 
....na genetic inasema kuwa environmental factor is the critical factor in determining the extent of the expression(yan hyo akili inayoongelewa). so btn ya hzo factor mbil tunaweza tukasema znategemeana yan fifty fifty. Biology zaid historia hpa c mahala pake wazee.
 
ah ah ah,kweli nimeamini kuwa akili za mbayuwai changanya na zako,ingekuwa hivyo watoto wa maprofesa wote wangekuwa na akili kinoma,lakini asilimia kubwa hata mavyuoni ni vilaza balaa
 
Akili inarithiwa na ni genetic material, unaweza ukawa mkali sana darasani na watoto wako wakawa kilaza pia; kijijini kwangu kuna mzee mmoja mwenye watoto 3, 1(mmoja) akawa mkali kunzia darasa la 1-UDSM akiongoza madarasa, lakini wale 2 waliishia kulima na baba yao alikuwa mwuza mitumba. Unaweza kurithi akili au ujinga kwa wazazi, wajomba, babu nk
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom