Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,519
Unahabari January nae alitaga form four enzi hizo?
Haiwezekani bana...huyo tunaambiwa ni "kichwa"
Unahabari January nae alitaga form four enzi hizo?
I see.hata iyo ni akili .... unadhani kuiba paper bila kushikwa upite form 4 upite six ..upite chuo semister 6 au zaidi .... si mchezo mkuu ... wewe ni mkali pia
Halafu kweli wanaume ambao kwa darasa sio vizuri hata mahusiano yao sio mazuri hawajui mapenzi kwa kweli(simaanishi kitandani
utaenjoy kwa kweli....
Remember Mkwerre ana Degree ya uchumi From UDSM na Mama ni Mwalimu Academicaly!!Hapa lazima mkwerre itakuwa inahusu' sana!
MKUU ACHA UTANI HIVI UNAITWA Dr. NANI VILE, SIJAKUBALI KUWA WEWE NI MBEBA MABOKSI ANYWAY NI MTAZAMO TUSijui wabeba maboksi wengine lakini mimi sikupata divisheni wani fom foo. Nilipata divisheni foo na kwenye ukoo wetu hakuna hata mmoja mwenye shahada ya kwanza. Kuna mmoja ana advansidi diploma na yeye ni ndugu wa mbali sana.
Kwa hiyo imekula kwangu mie. Ni mwendo wa kukimbizana na akina Habiba wauza vitumbua tu. Akina Cynthia, Gladys, Jessica, na Stephanie siwawezi mie.
Yaleyale kwenu msomi ni yule anayeijuwa vizuri Lugha ya kikristo, unang'ang'aniza kumpa Udokta wakati yeye amekwambia ni Form Four Graduate! nadhani wewe kwa imani hizi utasema Kiranga ni Profesa wa Oxford University!!MKUU ACHA UTANI HIVI UNAITWA Dr. NANI VILE, SIJAKUBALI KUWA WEWE NI MBEBA MABOKSI ANYWAY NI MTAZAMO TU
Sasa walimu si ndio 'vichwa'! Au?Remember Mkwerre ana Degree ya uchumi From UDSM na Mama ni Mwalimu Academicaly!!
division one na division one hutoa division zero
Shaabukda, the point is: mbona sasa Mwanaasha amechemsha?
Dah! Sehemu zilizoendelea, mwalimu wa chekechea hulipwa kama daktari. Na wengi wao huwa na Masters na kuendelea.wewe watafuta nani.engeneer,architect,dokta,au kamwalimu ka chekechea?
Dah! Sehemu zilizoendelea, mwalimu wa chekechea hulipwa kama daktari. Na wengi wao huwa na Masters na kuendelea.
Wrong!!!!!Reasoning naikubali ila action ndio natofautiana kidogo. Ni kweli DNA ya baba ndio ya mtoto which includes all hereditary traits ila malezi ya mama mmoja nayo ni risk hata kama factors nyingine zina hold.
Yep yep, na ma principals wengi ni ma-Phd. Wangejua ualimu unavyoheshimika!, hasa akiwa na wito wa ualimu. Watu wanaacha wall street jobs kwenda kufundisha watoto wenye akili taahira.Na huwezi kufundisha elementary school bila bachelor's degree na teaching license...