Habari humu!
naombeni ufafanuzi wenu, kuna mtu kanizidishia pesa niliyopaswa kulipwa, natafakari hapa je hii ni baraka au ni kosa?
maana kuna siku nilipita kanisa Fulani hivi watu walikuwa wakitoa ushuhuda,
na muumini mmoja akasema;
,"Namshukuru Mungu, konda nilipo mlipa nauli, akanirudishia kwa kunizidishia chenji, Oooh Haleluyaah!,"
Kanisa na mchungaji wakaripuka kwa ndelemo!
Sasa naleta kwenu wadau mnifahamishe, Je; Kuzidishiwa chenji au malipo ni baraka au ni kosa?
Maana nataka kuwa mtu mwema !!
naombeni ufafanuzi wenu, kuna mtu kanizidishia pesa niliyopaswa kulipwa, natafakari hapa je hii ni baraka au ni kosa?
maana kuna siku nilipita kanisa Fulani hivi watu walikuwa wakitoa ushuhuda,
na muumini mmoja akasema;
,"Namshukuru Mungu, konda nilipo mlipa nauli, akanirudishia kwa kunizidishia chenji, Oooh Haleluyaah!,"
Kanisa na mchungaji wakaripuka kwa ndelemo!
Sasa naleta kwenu wadau mnifahamishe, Je; Kuzidishiwa chenji au malipo ni baraka au ni kosa?
Maana nataka kuwa mtu mwema !!