Habari humu!
naombeni ufafanuzi wenu, kuna mtu kanizidishia pesa niliyopaswa kulipwa, natafakari hapa je hii ni baraka au ni kosa?
maana kuna siku nilipita kanisa Fulani hivi watu walikuwa wakitoa ushuhuda,
na muumini mmoja akasema;
,"Namshukuru Mungu, konda nilipo mlipa nauli, akanirudishia kwa kunizidishia chenji, Oooh Haleluyaah!,"
Kanisa na mchungaji wakaripuka kwa ndelemo!
Sasa naleta kwenu wadau mnifahamishe, Je; Kuzidishiwa chenji au malipo ni baraka au ni kosa?
Maana nataka kuwa mtu mwema !!
kanisani unatia kwenye kapu hawawezi juaHata kanisani ukizidisha sadaka ujue hairudi hiyo why mimi nimrudishie? Imekula kwake hiyo
Wakristo wanasema "Mungu hutenda kwa njia za ajabu" unajuaje kama hiyo ndiyo njia ya ajabu?
Basi mwenzenu ni muoga balaa!! Kwanza roho inaniuma sana. Hata nikiokota hela, sawa, ninaichukua lakini navaa viatu vya yule aliyepoteza hela yake jinsi anavyohangaika.Huwa na assume jamaa kanpunguzia ... Sinaga mbwe mbwe ... Hafu roho haijawah nisuta
Juzi tu hapo mida ya jioni nimeenda dukani na elfu 2 nataka vocha ya jero kanirudishia 9,500.. Nikamwambia wew hunijuie... Haya maisha ya Magu yalivyo kuwa hayaeleweki nikaikunja vizuri kabisa kwenye waleti..Hahaa kuna watu ni makauzu balaa.
Kwenye Papuchi kiukweli uaminifu sina ila pesa hata uache Mil 30 nitakurudishia.Mkuu wewe kama mimi siwezi zurumu ata mia ya mtu iwe umenizidishia au lah nitakurudishia ila Uzinzi kwa kweli utanisamehe ukisahau papuchi yako gheto kwangu ni lazima iliwe hapa tu ndio ninapojijua kwamba siwezi kwenda mbinguni ila mengine mbona simple tu.
AmenUkinipa nisichostahili huwa nakurudishia.
Ni kosa wewe kujua na kutimka na haki ambayo sio yako.
Sinywi pombe. Wala sikai dar ... Ila .. Nkizidishiwa chenji nachek nature ya mtu aliyezidisha ... Kama ni mmama namrudshia ... Kama ni mbaba namwacha accoton na his condition aszd kuwa mzembe ... Kama ni konda maweeee yaaan huyu. .. Hata angenizidishia na gari ... Yaan huyu hata sifikirii ... Kama ni kijana mwenzangu ... Ile hela ... Nanunua kitu chapu hapo hapo hafu ... Tunagawana .... Ila kama ni binti ... Uwiii hapo ... Namrudishia ... Na nnamwongezea ... Hafu tunakutana ... Hafu ananrudishia ... Kwa njia ya kipekee zaid .. # life hacksBasi mwenzenu ni muoga balaa!! Kwanza roho inaniuma sana. Hata nikiokota hela, sawa, ninaichukua lakini navaa viatu vya yule aliyepoteza hela yake jinsi anavyohangaika.
Kuna wakati nilikuwa huko kwenu Tanzania (Dar), jamaa mmoja hivi akanipigia simu, "Njoo hapa NBC/Jojis Club tunywe bia nina hela" basi nikaenda, kufika akanisumulia, " yaani nilikuwa ferry nakula, nimetoa 1,000/= lakini yule mama kajichanganya akanirudishia change kubwa akidhani nimetoa 10,000/=, tuinywe pombe" Kusema kweli nilisinyaa wala zile pombe sikunywa, japo ni mroho wa pombe. Nilimwambia kabisa umefanya vibaya kubanisha hiyo change!!!
In short mimi siwezi.
ukinizidishia chenji naondoka
sijafikia wema huo mimi
We utakuwa ndugu yangu bila shakaKwenye Papuchi kiukweli uaminifu sina ila pesa hata uache Mil 30 nitakurudishia.
Kwani wewe Baba yako alipigana vita ya Kagera?We utakuwa ndugu yangu bila shaka
Bila shaka mkuu baba yangu ni mmoja kati yaoKwani wewe Baba yako alipigana vita ya Kagera?
Duh basi utakuwa ndugu yangu.Bila shaka mkuu baba yangu ni mmoja kati yao
Duh basi utakuwa ndugu yangu.
Ngoja nikae karibu na simu ya mzee nisikie kama itaita.
Ngoja nimuulize baba kwa phone
Alifanya jambo la busara sana, faida yake ina weza isiwe ya hapo kwa hapo, ila matunda atayaona tu soonGood. Nilikua supermarket fulani ya ndugu yangu last saturday kuna wazungu watatu wakaja mmoja ni regular costamer wengine nadhani walikua ni wageni wake.
Sasa katika kulipa mmoja wa wale wageni wakati anaondoka akasahau baku baku lake ambalo ndani tulihesabu tukakuta kuna dollar 2255 kamili.
Ndugu yangu akamrudishia for the sake of tht regular costumer.
Kwenye situation kama hii ww ungefanyaje mkuu.
sawa mkuuNgoja nikae karibu na simu ya mzee nisikie kama itaita.