Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,373
- 54,754
Aliyekwambia hakuna rufaa nani?aliyekwambia mbinguni kuna kukata rufaa nan
Aliyekwambia hakuna rufaa nani?aliyekwambia mbinguni kuna kukata rufaa nan
hivi kumbeWakristo wanasema "Mungu hutenda kwa njia za ajabu" unajuaje kama hiyo ndiyo njia ya ajabu?
sasa kumgegeda tena hapo hakuna wema uliofanyaNilishawahi kumrudishia Mdada m.1 alinizidishia kwenye Kamati ya Harusi, alikuwa Mhasibu wetu, akiwa katingwa mie nikamrejeshea ile m. Hakika hakuamini jinsi ilivyotokea. Alishapotea kwa hofu ya kuathiri Ndoa ya mdau wetu. Tatizo likaja baadae, ule wema niliomtendea ukasababisha nimgegede kirahisi sana .
Good. Nilikua supermarket fulani ya ndugu yangu last saturday kuna wazungu watatu wakaja mmoja ni regular costamer wengine nadhani walikua ni wageni wake.Kati ya Vitu nimejitahidi kuvitekeleza ni Uaminifu wa Pesa/Mali. niliona kuacha uzinzi ni ngumu, hata nikienda mbinguni nipate sehemu ya kujitetea.
Niliwahi kurudisha miamala kama 3 ambayo iliingia kwenye simu yangu wakati nipo katika hali ngumu sana kiuchumi.Good. Nilikua supermarket fulani ya ndugu yangu last saturday kuna wazungu watatu wakaja mmoja ni regular costamer wengine nadhani walikua ni wageni wake.
Sasa katika kulipa mmoja wa wale wageni wakati anaondoka akasahau baku baku lake ambalo ndani tulihesabu tukakuta kuna dollar 2255 kamili.
Ndugu yangu akamrudishia for the sake of tht regular costumer.
Kwenye situation kama hii ww ungefanyaje mkuu.
Hahaa kuna watu ni makauzu balaa.Jichanganye kwangu sasa, nisha kula sana vocha za buku, nakupa jero unanipa vocha ya buku
Nikurudishie??
Mbingun na kuzimu kote watakukataa we jamaaKati ya Vitu nimejitahidi kuvitekeleza ni Uaminifu wa Pesa/Mali. niliona kuacha uzinzi ni ngumu, hata nikienda mbinguni nipate sehemu ya kujitetea.
Safi sana dunia inahitaji watu wengi wa aina yako.Kuna siku Bureau de change mlimani city nilikuwa na note ya dolllar 100, nilikuwa nachenji dola hamsini tu, akanirudishia note ya $50 na sh 217000 thamani ya $100, nilikuwa nimeshaondoka ila nilirudi kumrudishia pesa yake, alishukuru sana.
Fikiria mtu anaingia loss kwa kukuzidishia, maana yake itabidi akatwe kwenye mshahara wake, hiyo sio haki, huo ni wizi.
Nitarudi dunia kuendelea na mishe zangu za Biashara.Mbingun na kuzimu kote watakukataa we jamaa
Hata. Dunian tutakukataaNitarudi dunia kuendelea na mishe zangu za Biashara.
Kwwhyo umemuoaNilishawahi kumrudishia Mdada m.1 alinizidishia kwenye Kamati ya Harusi, alikuwa Mhasibu wetu, akiwa katingwa mie nikamrejeshea ile m. Hakika hakuamini jinsi ilivyotokea. Alishapotea kwa hofu ya kuathiri Ndoa ya mdau wetu. Tatizo likaja baadae, ule wema niliomtendea ukasababisha nimgegede kirahisi sana .
Aliyekwambia hakuna rufaa nani?
Mkuu wewe kama mimi siwezi zurumu ata mia ya mtu iwe umenizidishia au lah nitakurudishia ila Uzinzi kwa kweli utanisamehe ukisahau papuchi yako gheto kwangu ni lazima iliwe hapa tu ndio ninapojijua kwamba siwezi kwenda mbinguni ila mengine mbona simple tu.Kati ya Vitu nimejitahidi kuvitekeleza ni Uaminifu wa Pesa/Mali. niliona kuacha uzinzi ni ngumu, hata nikienda mbinguni nipate sehemu ya kujitetea.
nasikia ni kweli, anaezidisha huwa hatoi sadaka kwahiyo hupaswi kumrudishiahawatoi sadaka wale mi natembea nayo tu