Kuzidi kuchelewa kwa Dreva wa Tundu Lissu kuitikia wito wa RPC Muroto unaleta ukakasi!!!

Kama dereve wa Lissu ndiyo kikwazo cha upelelezi wa tukio hili na inafahamika kuwa Mh Mbowe ndiyo aliyemficha, kwa nini serikali ilimlazimishe amlete nchini kwa ajili ya upelelezi huo. Hivi Mbowe ana powers za kukaidi maagizo ya Jeshi la Polisi kwenye jambo muhimu na linaloiweka serikali kwenye wakati mgumu kama hili?
Imlazimishe vipi wakati ameshaambiwa Mara nyingi tu?
 
Mkuu, acha kuchanganya mambo!

Kwani matukio ya Kibiti na lile la Tundu Lissu yanafanana?

Inawezekana wengine hapa duniani mmezaliwa peke yenu bila ya kuwa na wazazi wala ndugu. Jaribu kufikiria Shambulio la Lissu lingetokea kwa Ndugu yako, ungeongea hayo maneno yako?

Hata kama una tofauti wa Kisiasa na Lissu lakini sio kibali cha kutengeneza Chuki na uadui kwa kiasi hicho.

Nachoona mimi, wale wanaoishuku Serikali kuhusika kwenye tukio la Lissu ni kutokana na jinsi suala hilo linavyoshughulikiwa pamoja na kauli za Viongozi wetu zinavyotolewa juu ya tukio lenyewe.

Kuna watu hapo juu wameuliza: "Je, dereva nae angekufa katika tukio lile ina maana uchunguzi usingefanyika?" lakini hakuna aliyejibu.
Kutokana na dhamira yenu ya kukomaa kuwa dereva ndo shahidi namba moja kwenye tukio hilo inaonesha mngefurahi zaidi dereva angekufa pamoja na TL.
Kwanini wale walinzi wa eneo hilo wa siku hiyo ya tukio wasihojiwe wakati dereva anaendelea kusubiriwa na vile vile kuna magari yaliyotajwa kabla ya tukio kuwa yanawafuatilia, hatua gani zilichukuliwa?

Naamini bado Watanzania hatujafikia kwenye roho mbaya na kuchukiana huku tunapokuona kipindi hiki.

Siasa sio chuki, watu wabishane kwa hoja za msingi sio mihemko!
Yametofautiana vipi? Jee wale waliouawa huko haikuwa sababu za kisiasa? hawakuuawa kwa makusudi? au kwa vile ni wandengereko ndiyo maana mauaji yao [wengi] wangine wetu tumeshindwa hata kutoa pole? Ndugu zangu, sisemi haya kwa sababu za kisiasa lakini zile ni roho ambazo hazikuwa na hatia[pengine kosa lao ni kuwa na vyeo ingawa ni vidogo sana [vya serikali pamoja na chama tawala] Hebu tuondoe boriti tunapozungumzia haya kwani kesho inawezekana ikawa kwetu pia.
 
Jamani mimi yangu ni macho na masikio kwenye hili sakata. Kuna kitu kinaniambia hapa kwamba upelelezi ukikamilika mnaweza kukuta Mbowe, Lowassa, au Zitto ndio wanahusika. Wamemtoa kafara yule kijana wao mpaka leo hajulikani yuko wapi.
 
Siasa zinaharibu vichwa ambavyo unaweza dhani vinafikiria kwa usahihi.
Katika hili swala huwezi kwepesha kuwahoji Dereva na Lissu madam wapo hai.
Hoja ya "_wangekufa ingekuwaje " ni hoja ya kipuuzi.. kwani hawa watu sasa wapo hai na ni watu muhim kwenye upelelezi... Mpelelezi yeyote atakushangaa sana,,, eti huoni haja ya kuwahoji Lissu na dereva wake.
Hata hao wachunguzi watoke nchi yeyote ,- kipengele cha kumhoji Dereva na Lissu kitakuwepo tu.

Tuache ujinga.
 
Nimegundua kuna watu huwa wanapenda kuingia JF na kuandika andika vitu ili mradi nae aonekane yupo active hata kama anachoandika ni nonsense!

Kukaa kimya na kusoma thread za wengine wenye uelewa wa kuchambua masuala husika, itakufanya uonekane wa maana kuliko kuanzisha thread zisizo na mashiko.

Inasikitisha kuona binadamu tunaondokewa na upendo wetu wa asili kisa kufuata mkumbo kwenye Siasa. Inabidi tutambue kuwa uhai wa mtu ni muhimu sana kuliko Siasa tunazoshabikia ambazo hata hivyo hatuzijui.

Mleta mada ni haki yako kuanzisha hii thread ila ilibidi ufikirie mara mbili kabla ya kusukumwa na chuki za Kisiasa kuandika ulichoandika.

Nasisitiza, uhai wa mtu ni muhimu kuliko Siasa.

Mungu akusamehe kwa kuwa hujui ulitendalo!!

##PRAY FOR TUNDU LISSU##
Naam " UHAI WA MTU NI MUHIMU KULIKO SIASA".
lakini hata wewe unapiga siasa umeshindwa kusimamia ulichoandika.
 
Hapo dereva angekuwa hahusiki. Ni hoja ya kipumbavu sana hii nilishangaa hata Mbowe aliitumia. Scotland yard wakiitwa na serikali wanakuja kuisaidia serikali. Hawaji kufanya private investigations.

Mbowe anatumia ujinga wa watu kwenye hili suala. Hata kama waliofanya uhalifu wametoka serikalini bado wanaweza kuwa wamerubuniwa na viongozi wa upinzani. Msisahau kwenye upinzani kuna viongozi wakubwa wengi wa serikali zilizopita na bado wana nguvu.

Hii nchi kuna chama kinajihusisha na neno Red Brigade. Hapo ndio uchunguzi ungeanzia hapo. Sioni faida yeyote kisiasa kwa serikali ya Magufuli kumvunja miguu Lissu halafu imuachie mdomo.

Huu mdomo unahitajika na wapinzani sijui miguu kama inahitajika aje kugombea nayo uraisi.
Kumbe mambumbumbu na washamba siyo tu kwenye kututawala bali hata jitihada za kutufanya mataahira. Ila mjue sisi na wanafamilia za wahusika ni wazima simataahira kama nyinyi.
 
Ni siku kadhaa Sasa toka tangazo la RPC Muroto atoe wito kwa Dreva wa Tundu Lissu Ndugu Simon kuripoti Polisi kwa mahojiano kufuatia shambulio na watu wasiojulikana kwa Mbunge Tundu Lissu tarehe 7 September huko Dodoma saa saba mchana maeneo ya Area D.

Toka tangazo litoke Dreva huyo yuko Nairobi kwa matibabu ya kisaikolojia kufuatia tukio hilo la kuogofya.

Ukimwa wa kutorudi nyumbani na kutoripoti Polisi unaleta ukakasi Katika duru za kichambuzi kwamba ni kweli tu anahofia usalama wake au Kuna jambo lingine nyuma ya pazia?

Wengi wanajiuliza kwanini aliweza kutoa mzima yeye na kumwacha Tundu Lissu akimiminiwa Risasi?

Na Katika Maelezo yake yanayosambaa kupitia Mwanahalisi dreva huyo anasema aliiona silaha aina ya SMG ndani ya hiyo gari mtu mmoja mhalifu alipofungua milango na kushuka!!!
Acha kupotosha Watu mkuu. Umeagizwa kufanya hivyo?
 
Jamani mimi yangu ni macho na masikio kwenye hili sakata. Kuna kitu kinaniambia hapa kwamba upelelezi ukikamilika mnaweza kukuta Mbowe, Lowassa, au Zitto ndio wanahusika. Wamemtoa kafara yule kijana wao mpaka leo hajulikani yuko wapi.
Ukitukanwa utalalamika mkuu...hivi kwa nn msikate mzizi wa fitna..fbi au Scotland yard..kwa ni serikali inakataa waje kama unadhani hao hapo juu wanahusika?ukichaa sio lazima utembee uchi!
 
Ni siku kadhaa Sasa toka tangazo la RPC Muroto atoe wito kwa Dreva wa Tundu Lissu Ndugu Simon kuripoti Polisi kwa mahojiano kufuatia shambulio na watu wasiojulikana kwa Mbunge Tundu Lissu tarehe 7 September huko Dodoma saa saba mchana maeneo ya Area D.

Toka tangazo litoke Dreva huyo yuko Nairobi kwa matibabu ya kisaikolojia kufuatia tukio hilo la kuogofya.

Ukimwa wa kutorudi nyumbani na kutoripoti Polisi unaleta ukakasi Katika duru za kichambuzi kwamba ni kweli tu anahofia usalama wake au Kuna jambo lingine nyuma ya pazia?

Wengi wanajiuliza kwanini aliweza kutoa mzima yeye na kumwacha Tundu Lissu akimiminiwa Risasi?

Na Katika Maelezo yake yanayosambaa kupitia Mwanahalisi dreva huyo anasema aliiona silaha aina ya SMG ndani ya hiyo gari mtu mmoja mhalifu alipofungua milango na kushuka!!!
Huyo rpc ni jipu. Just imagine kama wangekufa wote ina maana serikali isingeweza kuchunguza. Haya mambo ni ya ajabu sana.
I have never seen the poor management of leaders compared to this guy. Better to be silence lether than talking stupid speech.
 
Nimegundua kuna watu huwa wanapenda kuingia JF na kuandika andika vitu ili mradi nae aonekane yupo active hata kama anachoandika ni nonsense!

Kukaa kimya na kusoma thread za wengine wenye uelewa wa kuchambua masuala husika, itakufanya uonekane wa maana kuliko kuanzisha thread zisizo na mashiko.

Inasikitisha kuona binadamu tunaondokewa na upendo wetu wa asili kisa kufuata mkumbo kwenye Siasa. Inabidi tutambue kuwa uhai wa mtu ni muhimu sana kuliko Siasa tunazoshabikia ambazo hata hivyo hatuzijui.

Mleta mada ni haki yako kuanzisha hii thread ila ilibidi ufikirie mara mbili kabla ya kusukumwa na chuki za Kisiasa kuandika ulichoandika.

Nasisitiza, uhai wa mtu ni muhimu kuliko Siasa.

Mungu akusamehe kwa kuwa hujui ulitendalo!!

##PRAY FOR TUNDU LISSU##
Majorbuyoya Nimekuelewa vizuri sana. Nashukuru kwa ushauri wako.
 
Huyo rpc ni jipu. Just imagine kama wangekufa wote ina maana serikali isingeweza kuchunguza. Haya mambo ni ya ajabu sana.
I have never seen the poor management of leaders compared to this guy. Better to be silence lether than talking stupid speech.
Dawa ya jipu ni kutambuliwa.
 
Zaidi ya miezj miwili si Lisu wala dereva wake aliehojiwa wala kuandikisha statement ya tukio, lakini chama chake kinathubutu kwenda bungeni kudai polisi haifanyi uchunguzi. Hivi imeshawahi kutokea shahidi wa tukio la uhalifu akahojiwa nje ya nchi. Hata huko Marekani mtu akikimbilia Mexico FBI wanabwaga manyanga. Tatizo kuna watu wanaongoza nyumbu wameanza kujisahau wanafikiri nchi nzima ni nyumbu watupu.
 
Back
Top Bottom