Wanawake wengi(sio wote) wa Kiafrika hawana bahati katika maisha ya mapenzi hasa wale waliojaaliwa uzuri na mvuto moja ya sababu ni wao kushindwa kujua tofauti kati ya mwanaume anayemtaka na mwanaume anayempenda.
Mungu kaijalia Africa wanawake wazuri na warembo kuliko eneo lolote lile duniani lakini mwisho wa siku wanawake wengi(sio wote) wa Kiafrica wenye mvuto wameishia kuchezewa tu na wajanja na wahuni wengine wameishia tu kuzalishwa kila mtoto na baba yake na hawaolewi wapo tu mtaani.
KUZALIWA MZURI AFRICA NI BARAKA AU LAANA...
Mungu kaijalia Africa wanawake wazuri na warembo kuliko eneo lolote lile duniani lakini mwisho wa siku wanawake wengi(sio wote) wa Kiafrica wenye mvuto wameishia kuchezewa tu na wajanja na wahuni wengine wameishia tu kuzalishwa kila mtoto na baba yake na hawaolewi wapo tu mtaani.
KUZALIWA MZURI AFRICA NI BARAKA AU LAANA...