Joao de Matos
JF-Expert Member
- Jun 16, 2022
- 334
- 267
Kuzaa na mtu sio ndoa, unaweza ukazaa na mtu na asikuoe pia na hata ukalalamika kwa wazee wake kama hata taka kukuoa hatakuoa tuu.
Wasichana ujitunzi usizae tuu, na hata wazazi wako wakisema na kulalamika kwa familia ya mwanaume huyo mwanaume anaweza akakubali mtoto na asikuoe.
Kuna kijana mmoja alikuwa mchungaji mtarajiwa, akatengeneza mahusiano na binti wa mchungaji, wakaendela na mahusiano hadi wakafanya UZINZI na binti kupata ujauzito.
Shida ni yule mchungaji mtarajiwa kumbe alikuwa na binti mwingine ambaye alimtolea mahari, na ndoa ikatangazwa kanisani. Familia ya mchungaji hawakukubali jamaa aoe binti mwingine wakaenda kuweka kipingamizi kanisani kwamba asifunge ndoa.
Mahamuzi ya kanisa walisema kuzaa na mtu sio ndoa na haiwezekani kuweka pingamizi kwa sababu ya kuzaa na mtu, Hilo pingamizi likatupiliwa mbali na ndoa ikafungwa. Binti wa mchungaji kabaki single mother.
Akinadada muwe makini.
Wasichana ujitunzi usizae tuu, na hata wazazi wako wakisema na kulalamika kwa familia ya mwanaume huyo mwanaume anaweza akakubali mtoto na asikuoe.
Kuna kijana mmoja alikuwa mchungaji mtarajiwa, akatengeneza mahusiano na binti wa mchungaji, wakaendela na mahusiano hadi wakafanya UZINZI na binti kupata ujauzito.
Shida ni yule mchungaji mtarajiwa kumbe alikuwa na binti mwingine ambaye alimtolea mahari, na ndoa ikatangazwa kanisani. Familia ya mchungaji hawakukubali jamaa aoe binti mwingine wakaenda kuweka kipingamizi kanisani kwamba asifunge ndoa.
Mahamuzi ya kanisa walisema kuzaa na mtu sio ndoa na haiwezekani kuweka pingamizi kwa sababu ya kuzaa na mtu, Hilo pingamizi likatupiliwa mbali na ndoa ikafungwa. Binti wa mchungaji kabaki single mother.
Akinadada muwe makini.