KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 18,125
- 32,800
Piga mswaki na majivu au mkaa..believe yatang'aaa kama theruji
Piga mswaki na majivu au mkaa..believe yatang'aaa kama theruji
Piga mswaki na majivu au mkaa..believe yatang'aaa kama theruji
Uongo huo nimetumia kama wiki mbili hvi hamna lolote
Wanaopika keki wanatumia baking powder, na wanaopika half cake wanatumia bicarbonate of soda
Hizo ni powder aina mbili tofauti. Unatakiwa kutumia hii bicarbonate of soda kama unavyotumia dawa ya meno(tooth paste) unapopiga mswaki.
Siku mbili, tatu tu...baada ya hapo utumie wiki mara moja. Haina ladha nzuri,lakini mabadiliko utayaona mara ya kwanza utakapotumia. Na hiyo habari ya kutoka damu itapotea.
Tumia hiyo bicarbonate of soda baadae urudi na ushuhuda.
Madocta vip njoon bas
yapo memo yana asili ya unjano by nature hayo huwa ni never kuwa meupe jitahidi kunywa maziwa fresh sana glass 1 wakati wa kulala kwa siku 30 mfululizo hata kama kunahuo uasili hutoweka
kwa ushauri huu, muda si mrefu atakuja mtu humu amwambie atafune maganda ya mayai kutwa mara tatu kwa siku 30yapo memo yana asili ya unjano by nature hayo huwa ni never kuwa meupe jitahidi kunywa maziwa fresh sana glass 1 wakati wa kulala kwa siku 30 mfululizo hata kama kunahuo uasili hutoweka
ladies and gentlemen,
mimi nina sumbuliwa na meno yana unjano sana kiasi kwamba utafikiri huwa hayafanyiwi usafi! fizi nazo zimekuwa zikisumbua sana kiasi cha kutoa damu mida ya asubuhi!!
nimejitahidi kusujutua mara tatu kwa siku lakini wapi!!! meno bado yana rangi ya njano!!
lengo langu ni kupata meupe peeee!! yani super white teeth kama wengine!!
please wanaojua njia mbadala ya kubadilisha meno yanga kutoka hali ya unjano kwenda weupe na wenye afya please tusaidiane hapa!!!
thanks a lot!!
Mkuu... unatuumiza macho!
yapo memo yana asili ya unjano by nature hayo huwa ni never kuwa meupe jitahidi kunywa maziwa fresh sana glass 1 wakati wa kulala kwa siku 30 mfululizo hata kama kunahuo uasili hutoweka
yapo memo yana asili ya unjano by nature hayo huwa ni never kuwa meupe jitahidi kunywa maziwa fresh sana glass 1 wakati wa kulala kwa siku 30 mfululizo hata kama kunahuo uasili hutoweka
kwa ushauri huu, muda si mrefu atakuja mtu humu amwambie atafune maganda ya #AFANYE HIVYO I'AM NOT JOKING SHE MUST SEE A CHANGE,HII H/PEROXIDE HUWA INATEND TO KUUA BACTERIA KWA 99%,MAGADI HUWA YANATEND KU WEAKEN VITU VYENYE ASILI YA MIFUPA
mkuu unamwacha njiapanda,
eleza Hiyo hydrogen peroxide inapatikanaje?
kwa ushauri huu, muda si mrefu atakuja mtu humu amwambie atafune maganda ya #AFANYE HIVYO I'AM NOT JOKING SHE MUST SEE A CHANGE,HII H/PEROXIDE HUWA INATEND TO KUUA BACTERIA KWA 99%,MAGADI HUWA YANATEND KU WEAKEN VITU VYENYE ASILI YA MIFUPA
H/peroxd ni oxidizin agent pia!,that reaction ndo inasafisha meno n ofcoz nakuua bacteria so 2 in 1