Kuweni makini na vocha mnazotumia mnazitupa wapi na je mmeziharibu?

CDM ndo wametuma vijana kusaka vocha wanazinunua kuna jambo wanapanga mda c mrefu watakutana kurasini watapiga mabia then wataibukia kwny tv!!

wewe baba yako bora angekutole bafuni tu.
 
Na haiwezekani kumshikilia mtu gerezani kama huna concrete evidence ya kufanya hivyo, kama unaokota vocha katika eneo la tukio na kupata namba ya simu ya mtu aliyetumia vocha hiyo, jambo la kwanza ni kumu-interogate huyo mtu ili kujua alikuwa wapi siku hiyo ya tukio, na kama maelezo yake ni ya kutia shaka then anaweza kuwa first suspect, lakini kama kwa mfano sikuwahi kufika katika hilo eneo wakati huo wa tukio sasa kuna haja gani ya kunishikilia...! Kuna haja ya kuangalia huzi sheria za "anaisaidia Polisi" kwanza zimepitwa na wakati...............
Mimi sitaweza kutembea na makaratasi mfukoni eti kwa kigezo zitatumiwa na wahalifu, tena hao wahalifu waambie waje niwape hizo vocha nilizotumia waone kama nitakamatwa....................

Asante mkuu lakini si hivyo tu minara tunayotumia inaonyesha kila unapokuwa unatumia simu kuwa muda fulani ulikuwa sehemu fulani na kwa muda upi. na si hivyo tu vyocha inapoingizwa inaonyesha iliinigzwa muda gani na niwapi. Na kama polisi wanakamata watuhumiwa kuwa kutumia vyote ni upungufu wa maarifa wa idara hii ina bidi wawe creative zaidi ya kufanya uhanisi wa aina hii
 
ni tahadhari nzuri ambayo inaweza kukuepushia usumbufu mkubwa hasa ukizingatia performance ya vyombo vyetu vya uchunguzi which leaves a lot to be desired
 
Back
Top Bottom