Kuweni makini na huyu mtu

Hebu tusaidie Mr.Chahali,Mzee yupo hai au Israel ameshafunga jalada?
Kwa hiyo na wewe bado huna uhakika kama kafa au yu mzima? Maana kwa post zako unathibitisha bila shaka kua rais keshakufa. Inawezekana kweli unakitu ambacho wengi hatuna ila tumia hicho kitu chako kuthibitisha habari kabla hujapost. Au ndo unataka uonekane mjuaji kuliko wengine mzeebaba. Unaanza kupoteza trust za wasomaji wako
Kwahiyo bado unakomaa kuwa unaesema kafa ..kafa kweli??
Sio kuwa umelishwa false info au unalisha watu false info??
Nadhani umeshapata muongozo.

Cc: Mahandazi.
 
Yupo mmoja huko nyuma alipewa onyo la kunadili mwenendo wake juu ya mambo matatu aliyokuwa akiyaratibu..
Na wala hakunjua onyo lile limetoka wapi akaanza kufatilia lilikotoka..akapewa la pili na la tatu..kisha maamuzi yakafanyika toka gaboroune room 103..aliishia kula risas 14...
Wanaojua beacon za nchi hii sio diwan wala magifuli
HUYO ni Tundu lisu!! LAKINI Mbona mlifeli mission!!?
 
Yupo mmoja huko nyuma alipewa onyo la kunadili mwenendo wake juu ya mambo matatu aliyokuwa akiyaratibu..
Na wala hakunjua onyo lile limetoka wapi akaanza kufatilia lilikotoka..akapewa la pili na la tatu..kisha maamuzi yakafanyika toka gaboroune room 103..aliishia kula risas 14...
Wanaojua beacon za nchi hii sio diwan wala magifuli
Lisu=kijana msema sana!!
 
Back
Top Bottom