King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,656
- 68,604
Hebu tusaidie Mr.Chahali,Mzee yupo hai au Israel ameshafunga jalada?
Kwa hiyo na wewe bado huna uhakika kama kafa au yu mzima? Maana kwa post zako unathibitisha bila shaka kua rais keshakufa. Inawezekana kweli unakitu ambacho wengi hatuna ila tumia hicho kitu chako kuthibitisha habari kabla hujapost. Au ndo unataka uonekane mjuaji kuliko wengine mzeebaba. Unaanza kupoteza trust za wasomaji wako
Nadhani umeshapata muongozo.Kwahiyo bado unakomaa kuwa unaesema kafa ..kafa kweli??
Sio kuwa umelishwa false info au unalisha watu false info??
Cc: Mahandazi.