Na yeye ndio anaenda kuanza kuwa mchawi hivyo haha. Akipata kitatizo kidogo lazima ataenda huko mwishowe anakuwa gwiji gwijiruuuKaroge baba, watwange bombadia moja qmma3 zao..nachukia wachawi..
That is neither hither, nor thither, and does not answer the question.It is not the age that breaks the York...but whatever the anointing inside of you.
umepima HIV?Baada ya miezi mitatu tu ya kuanza kazi kama Quality control supervisor , hali yangu ilianza kubadilika, Mdomo umegeukia upande meno ya mbele yametoka na baada ya kwenda Hospitali walinifanyia uchunguzi huenda labda ikawa ni stroke lakini wamethibitisha kuwa mwili wangu upo sawa hauna ugonjwa wowote
Sasa nipo njiani mda huu na ndugu zangu kwenda kwa mtaalam morogoro.