gilgal
Member
- Dec 2, 2013
- 73
- 20
wadada dizaini hiyo ni weengi mno
wacha waingize watu mjini......huu ni wizi wa kitoto mno
sioni why kama amekulia nauli yako uje umtangaze huku
hasa kama hujakutana nae hapa
Loooolest,!!!!
wadada dizaini hiyo ni weengi mno
wacha waingize watu mjini......huu ni wizi wa kitoto mno
sioni why kama amekulia nauli yako uje umtangaze huku
hasa kama hujakutana nae hapa
hahahaah!! Unajua mpenzi ni muda mrefu sana,,,,,,,,many kisses to junior. Mwambie soon tutakuwa pamoja.
nimeyapokea kwa niaba yake. :mwaaah::mwaaah::mwaaah:
Dawa ni kumwambia akope popote,akifika ulipo utamrejeshea
huo utapeli niliwai kuufanya na nilikupa na uhakika wa kupata si chini ya million 10 kwa mwez. wanaume wakware na wajinga walikuwa wanatuma pesa ya ndege hawajui wanachat na kidume
Hii namba ya nchi gani?
Mtoto mashaallah!
Kenye Badoo Masogange au mtu fulani aliyekuwa anatumia jina na picha za Masogange alikuwa anapiga watu mizinga akiomba wamtumie tiketi ya ndege eti anasoma Chuo cha uuguzi Moshi.
We kaka hebu nikome,kwani nilikulazimisha unitumie nauli,????
LMAO....