Hili la kuweka picha ya hayati kwenye noti zetu limekaaje kiuchumi? Maana utamaduni wa kuweka picha ya viongozi kwenye hela zetu lilikoma tangu Rais hayati Benjamin Mkapa alipoingia madarakani,Sasa ninaona Kama Watu wanataka kulileta Kiana,tulimheshimu baba wa taifa kwa kuweka picha yake kwenye noti ya elfu moja na picha ya marehemu karume kwenye sarafu ya Mia mbili,na imekaa vizuri, Sasa Hawa jamaa wanaotaka kumshawishi mama ninaona shaka