Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,172
- 7,427
Wakuu, hakuna mtu anayejua kila kitu,
Katika bunge letu, kuna kitu mimi nimekuwa nikikiona mara kwa mara hasa wakati wa upitishaji bajeti na sijakielewa vizuri hadi sasa lakini bila shaka kutakuwa na wanaokielewa vyema.Ni kuhusu "Kutoa shilingi na kurudisha kwenye mshahara wa waziri".
Ninaomba kwa anayejua atujuze nasi tupate kuelewa juu ya mambo yafuatayo:
(a) Kutoa shilingi kwenye mshahara wa waziri maana yake kiuhalisia ni nini hasa?
(b)Ni nani anayepanga mshahara wa waziri? na je mshahara wa waziri unapitishwa na bajeti, au unapitishwa kivyake? yaani bajeti inaweza kupita bila mshahara wa waziri?
(c) Ni madhara gani yanayotokana na kutoa shilingi kwenye mshahara wa waziri na madhara hayo huwakumba kina nani hasa?
(d) Ili kutoa shilingi kwenye mshahara wa waziri kuweze kuwa na madhara yaliyokusudiwa; ni wabunge wangapi wanatakiwa kutoa shilingi?
(e) ni sababu zipi kimsingi zinamfanya mbunge awe na haki ya kutoa hiyo shilingi?
(e)Katika historia ya bunge letu;Huu "Utoaji shilingi" huu ushawahi kuleta madhara fulani? kama hapana, tunaweza kuwa na mfano wa bunge lolote duniani ambalo jambo hili lilishawahi kuleta madhara/matokeo yaliyokusudiwa?
Nadhani tukipata elimu juu ya haya, tunaweza pia kupata na majibu ya maswali mengine, au kuwa na maswali mengine ya nyongeza.
Kwa kila mwenye kujua, anakaribishwa!.
Katika bunge letu, kuna kitu mimi nimekuwa nikikiona mara kwa mara hasa wakati wa upitishaji bajeti na sijakielewa vizuri hadi sasa lakini bila shaka kutakuwa na wanaokielewa vyema.Ni kuhusu "Kutoa shilingi na kurudisha kwenye mshahara wa waziri".
Ninaomba kwa anayejua atujuze nasi tupate kuelewa juu ya mambo yafuatayo:
(a) Kutoa shilingi kwenye mshahara wa waziri maana yake kiuhalisia ni nini hasa?
(b)Ni nani anayepanga mshahara wa waziri? na je mshahara wa waziri unapitishwa na bajeti, au unapitishwa kivyake? yaani bajeti inaweza kupita bila mshahara wa waziri?
(c) Ni madhara gani yanayotokana na kutoa shilingi kwenye mshahara wa waziri na madhara hayo huwakumba kina nani hasa?
(d) Ili kutoa shilingi kwenye mshahara wa waziri kuweze kuwa na madhara yaliyokusudiwa; ni wabunge wangapi wanatakiwa kutoa shilingi?
(e) ni sababu zipi kimsingi zinamfanya mbunge awe na haki ya kutoa hiyo shilingi?
(e)Katika historia ya bunge letu;Huu "Utoaji shilingi" huu ushawahi kuleta madhara fulani? kama hapana, tunaweza kuwa na mfano wa bunge lolote duniani ambalo jambo hili lilishawahi kuleta madhara/matokeo yaliyokusudiwa?
Nadhani tukipata elimu juu ya haya, tunaweza pia kupata na majibu ya maswali mengine, au kuwa na maswali mengine ya nyongeza.
Kwa kila mwenye kujua, anakaribishwa!.