Kuweka biashara ndogo njia za waenda miguu ni u-binafsi

N'yadikwa

JF-Expert Member
Aug 10, 2014
6,825
9,528
Hakika tunawapenda ndugu zetu wanaofanya biashara ndogo hasa kwenye miji mikubwa lakini kuna hii kero ya kuziba njia za waenda miguu kwa kuweka biashara.Haikubaliki!

Tunaomba Mamlaka husika ziweke utaratibu wa kuwezesha wananchi kupita na hawa wafanyabiashara kufanya biashara zao bila mmojawapo kumnyima HAKI mwingine.

Picha ya Citizen ya leo inaonyesha hali halisi ya UBINAFSI huo kwenye mitaa ya Uhuru Kariakoo Dar es Salaam.
20200817_085331.jpg
 
Aisee hii ni kero kubwa sana, na uzi ulishaletwa humu
Kimsingi watu kwa sasa hawafuati tena taratibu tena nyakati za jioni ndo hali inakua mbaya zaidi, nafasi imebana lakini inabidi mtu na gari mpishane kwa pamoja,
Tena hao wachuuzi ukiwashauri utapata matusi si madogo, nenda Tandika, Nenda Tegeta au Kigamboni
 
Aisee hii ni kero kubwa sana, na uzi ulishaletwa humu
Kimsingi watu kwa sasa hawafuati tena taratibu tena nyakati za jioni ndo hali inakua mbaya zaidi, nafasi imebana lakini inabidi mtu na gari mpishane kwa pamoja,
Tena hao wachuuzi ukiwashauri utapata matusi si madogo, nenda Tandika, Nenda Tegeta au Kigamboni
Hapa Mbezi mwisho wameteka eneo Lote la watembea kwa miguu
 
Lack of order! Hauwezi kufanikiwa Kama Taifa ikiwa utajenga jumuiya ya watu wasiokuwa na nidhamu.

Sisi wanamipango Miji tunasemwa Sana nchi hii kwanini Kuna uholela wa makazi.. na moja wapo ya sababu kubwa ni kukosekana mfumo wa kuwaandaa watu wenye nidhamu.

Watanzania wa leo wako spoiled Sana.. wamedekezwa mno na mfumo umewapendelea Kama watoto wa mwisho kwa mama asiyejali.

Hii ndio maana biashara zetu zitaendelea kuwa za kubabaisha na kudunduliza na nguvu kazi kubwa inapotea kwenye kuuza viberiti na sigara Mjini.

Nidhamu Nidhamu Nidhamu.
 
Lack of order! Hauwezi kufanikiwa Kama Taifa ikiwa utajenga jumuiya ya watu wasiokuwa na nidhamu.

Sisi wanamipango Miji tunasemwa Sana nchi hii kwanini Kuna uholela wa makazi.. na moja wapo ya sababu kubwa ni kukosekana mfumo wa kuwaandaa watu wenye nidhamu.

Watanzania wa leo wako spoiled Sana.. wamedekezwa mno na mfumo umewapendelea Kama watoto wa mwisho kwa mama asiyejali.

Hii ndio maana biashara zetu zitaendelea kuwa za kubabaisha na kudunduliza na nguvu kazi kubwa inapotea kwenye kuuza viberiti na sigara Mjini.

Nidhamu Nidhamu Nidhamu.
Kibongo Nyie mnakula mishahara ya bure Hakuna la maana mnalofanya.
 
Hapo mwanza ndo wamelichafua jiji, ukiuliza unaambiwa wanasubiri soko jipya likamilike, sasa wote mtatosha humo?

Kuna maeneo kibao yangetengwa nje ya jiji kwani tukihitaji bidhaa tutafata huko alafu nyakati zingine unapita kiubavu kwenye barabara utafikiri unapita chochoroni.
 
Kibongo Nyie mnakula mishahara ya bure Hakuna la maana mnalofanya.
Mipango Miji Ni nadharia pana Sana.. na siwalaumu wataalamu wa kitanzania.. ninaulaumu mfumo.

Timu ya Hawa wataalamu Ni ndogo,
Haina bajeti sufficient, maana sio kipaumbele. Mabadiliko Ni makubwa na kwa kasi kubwa...it's only fair kuwapa moyo maana mzigo Ni mkubwa.

Lakini elimu yetu Watanzania haijatukomboa, pamoja na kila kitu bado mtu amesoma na anakwenda kujenga squatter area... Unplanned area!? Mipango Miji effective huwezi kujua Kama ipo.. everything flows effortlessly... Maana watu wameandaliwa kufanya maamuzi Bora na Sahihi.

Hao wa ngozi nyeupe ukiondoa waarabu wangapi Unakutana nao kwenye viwanja vya miguu kwa miguu!?

Wao wamepangwa akili. Na hiyo kuitikia lazima kila kitu nchini kiwe kwenye mlinganyo.. town Planner ni Kama wedding planner anafanya kazi na kile anachopewa ukimpa sherehe ya uswahili itaendeshwa Kiswahili ukimpa ya Masaki itakwenda kimasaki...

Ukimpa jamii na mifumo ya kiwaki utapata Miji ya kiwaki tu.
 
Mipango Miji Ni nadharia pana Sana.. na siwalaumu wataalamu wa kitanzania.. ninaulaumu mfumo.

Timu ya Hawa wataalamu Ni ndogo,
Haina bajeti sufficient, maana sio kipaumbele. Mabadiliko Ni makubwa na kwa kasi kubwa...it's only fair kuwapa moyo maana mzigo Ni mkubwa.

Lakini elimu yetu Watanzania haijatukomboa, pamoja na kila kitu bado mtu amesoma na anakwenda kujenga squatter area... Unplanned area!? Mipango Miji effective huwezi kujua Kama ipo.. everything flows effortlessly... Maana watu wameandaliwa kufanya maamuzi Bora na Sahihi.

Hao wa ngozi nyeupe ukiondoa waarabu wangapi Unakutana nao kwenye viwanja vya miguu kwa miguu!?

Wao wamepangwa akili. Na hiyo kuitikia lazima kila kitu nchini kiwe kwenye mlinganyo.. town Planner ni Kama wedding planner anafanya kazi na kile anachopewa ukimpa sherehe ya uswahili itaendeshwa Kiswahili ukimpa ya Masaki itakwenda kimasaki...

Ukimpa jamii na mifumo ya kiwaki utapata Miji ya kiwaki tu.
Nasemaje Hawa town planners wa Tanzania kwa asilimia kubwa kichwani wamebeba nywele tu.
 

Labda Kama mdau... Unadhani Ni kwanini unawaza hivyo!? Honest Conversation. Natamani Sana kujua..huenda tukashauri sehemu husika.
Hawana wanaloweza mkuu,

Watu wanauziana viwanja 10 kwa 10. Wanashindwa hata kuishauri serikali mikakati ya kuwa na maeneo mazuri ambayo bado Ni viwanja.

Nenda mabwepande Leo uone ilivyokuwa takataka. Hawa town planners hamna Kitu kabisa zaidi ya kutumalizia oxygen na kuzalisha hewa ya ukaa kwa wingi.
 
Lack of order! Hauwezi kufanikiwa Kama Taifa ikiwa utajenga jumuiya ya watu wasiokuwa na nidhamu.

Sisi wanamipango Miji tunasemwa Sana nchi hii kwanini Kuna uholela wa makazi.. na moja wapo ya sababu kubwa ni kukosekana mfumo wa kuwaandaa watu wenye nidhamu.

Watanzania wa leo wako spoiled Sana.. wamedekezwa mno na mfumo umewapendelea Kama watoto wa mwisho kwa mama asiyejali.

Hii ndio maana biashara zetu zitaendelea kuwa za kubabaisha na kudunduliza na nguvu kazi kubwa inapotea kwenye kuuza viberiti na sigara Mjini.

Nidhamu Nidhamu Nidhamu.
Hii ni kweli Watanzania hatuna nidhamu
Hata vijijini wakulima hawaheshimu njia

Wanalima hadi vibarabsra !!!!
 
Hawana wanaloweza mkuu,

Watu wanauziana viwanja 10 kwa 10. Wanashindwa hata kuishauri serikali mikakati ya kuwa na maeneo mazuri ambayo bado Ni viwanja.

Nenda mabwepande Leo uone ilivyokuwa takataka. Hawa town planners hamna Kitu kabisa zaidi ya kutumalizia oxygen na kuzalisha hewa ya ukaa kwa wingi.
Sasa Kiongozi Mwenye Ardhi ni mwananchi, huyu mwananchi ukisoma miongozo ya uendelezaji Ardhi mijini inakutaka kutoka katika njia yoyote ile ujenge mita tano nyuma.. tukianzia hapo Kwanza swala la barabara linao utatuzi.. shida kubwa Ni Siasa kuingilia Taaluma na kwasababu tunachokiita wanyonge

Taratibu zilizokuwepo ndizo zilizojengwa Miji mingi ya awali... Imagine una system halafu watumiaji wa system hawaelewi taratibu za kuitumia system Unakutana na mauzauza tu.. shida sio Mipango shida Ni watekelezaji wa Mipango. Urasimishaji Ni moja ya maeneo yatakayoleta Changamoto kubwa Sana kwa Taifa huko mbeleni .. na Hili zoezi liko fueled na matamanio ya kisiasa.

Ndg yangu piga ua garagaza kama huna watu wanaofit mfumo unaendelea kutangatanga tu. Kuupata mfumo inabidi watu wafunzwe na iwe sehemu ya utamaduni kwa kipindi Cha muda mrefu. Katika kipindi Cha muda mfupi na muda wa Kati Ni kuwa na kampeni ya Kitaifa Kurejesha nidhamu.. vunja vibanda vyote, weka utaratibu wa kupata vibali vya Ujenzi na vya biashara vinavyozingatia uhitaji.. futa vibali vya elfu ishirini weka mfumo wa watu kufanya mergers kupungua entity kubwa zenye kuguarantee Huduma na ajira..

Kwa kifupi kuwa na mipango Miji konki lazima tujikamua kweli na tuzungumze lugha moja... Ukimbana mtu anakimbilia kwa waziri wakati wa uchaguzi mwanasiasa anafuta maamuzi ya kitaalamu unatarajia nini.. mpaka viwanja vya 2*2 vitakuja mbona.
 
Huwa nawaza kuna Rais atakuja miaka ijayo atapitisha bulldozers kwenye squatters hadi sio poa...ila kwa kweli nidhamu yetu ni ndogo
Nawaza maeneo kama Mabwepande kwann hatujaweza kupangilia wakati ni plots mpya...watu wanajijengea tu.....hili la biashara mabarabarani pia linatucost na kusababisha foleni hasa magulio ya barabarani kv Kimara,Boko nk
 
Hyo ni kero kubwa mno wapita miguu hatuna sehemu ya kupita na hao wauza bidhaa kazi yao kutukana wapita miguu, ningekuwa na mamlaka wote wangekula virungu na kwenda sehemu zilizoruhusiwa kwa biashara maana kwanza wamefanya miji kuwa ka uchafu, pia ni hatari gari likiacha njia.
 
Tanzania tunajali njia za kupita magari pekee. Waenda kwa miguu na waendesha baiskeli hawana maana. Tunajigamba tunajenga barabara lakini ni za magari tu. Je watu wa kawaida watapita wapi?
Na hao wafanya biashara waliopangana hapo sioni shughuli wanayoifanya inayoweza kuwaweka mjini. Kwa asilimia kubwa wengi wao wanajihusiha na biashara haramu.
 
Sasa Kiongozi Mwenye Ardhi ni mwananchi, huyu mwananchi ukisoma miongozo ya uendelezaji Ardhi mijini inakutaka kutoka katika njia yoyote ile ujenge mita tano nyuma.. tukianzia hapo Kwanza swala la barabara linao utatuzi.. shida kubwa Ni Siasa kuingilia Taaluma na kwasababu tunachokiita wanyonge

Taratibu zilizokuwepo ndizo zilizojengwa Miji mingi ya awali... Imagine una system halafu watumiaji wa system hawaelewi taratibu za kuitumia system Unakutana na mauzauza tu.. shida sio Mipango shida Ni watekelezaji wa Mipango. Urasimishaji Ni moja ya maeneo yatakayoleta Changamoto kubwa Sana kwa Taifa huko mbeleni .. na Hili zoezi liko fueled na matamanio ya kisiasa.

Ndg yangu piga ua garagaza kama huna watu wanaofit mfumo unaendelea kutangatanga tu. Kuupata mfumo inabidi watu wafunzwe na iwe sehemu ya utamaduni kwa kipindi Cha muda mrefu. Katika kipindi Cha muda mfupi na muda wa Kati Ni kuwa na kampeni ya Kitaifa Kurejesha nidhamu.. vunja vibanda vyote, weka utaratibu wa kupata vibali vya Ujenzi na vya biashara vinavyozingatia uhitaji.. futa vibali vya elfu ishirini weka mfumo wa watu kufanya mergers kupungua entity kubwa zenye kuguarantee Huduma na ajira..

Kwa kifupi kuwa na mipango Miji konki lazima tujikamua kweli na tuzungumze lugha moja... Ukimbana mtu anakimbilia kwa waziri wakati wa uchaguzi mwanasiasa anafuta maamuzi ya kitaalamu unatarajia nini.. mpaka viwanja vya 2*2 vitakuja mbona.
Shida ni wanasiasa wetu hawako smart hao town planner's Wana mipango mizuri, shida Ni wanasiasa wetu wanatafta cheap politics imagine Sasa hivi dar nzima chafu, vibanda, maturabai yamechanika chanika Yani Hadi aibu Kama taifa, hao machinga kwanini wasijengewe maeneo karibu na stendi, sikuhizi haishangazi pembeni ya barabara mtu ana kaanga samaki, Mara chips bila kujali hatari za kiusalama Wala wapita njia. Siku nchi hii tukifanya siasa Safi za kimaendeleo na kuwa na mikakati huu upuuzi utaisha tu.
 
Back
Top Bottom