Ukienda jijini Mwanza ukipita kwenye makazi holela unakuta vibao vimewekwa eti anwani za makazi, huku ni kupoteza pesa yetu bure. Unapita kwenye njia zilizochangamana mara umeibuka junction moja kimewekwa kibao cha anwani ya makazi.
Ushauri
Anzeni kwa kutuwekea mitaa inayoeleweka tumieni hizo gharama za sasa kuchonga barabara mitaani, mkiweka majina kwenye mitaa inayoeleweka sasa inakuwa rahisi na vibao vinakuwa anwani inayoeleweka. Kwamba mtu anaweza kuelezea mtaa wake kuwa ni barabara fulani, mtaa fulani na fulani.
Kwa sasa kinachofanyika kwenye makazi holela wala huwezi kutoa anwani yoyote labda wale tu wa barabara kubwa tu.
Ushauri
Anzeni kwa kutuwekea mitaa inayoeleweka tumieni hizo gharama za sasa kuchonga barabara mitaani, mkiweka majina kwenye mitaa inayoeleweka sasa inakuwa rahisi na vibao vinakuwa anwani inayoeleweka. Kwamba mtu anaweza kuelezea mtaa wake kuwa ni barabara fulani, mtaa fulani na fulani.
Kwa sasa kinachofanyika kwenye makazi holela wala huwezi kutoa anwani yoyote labda wale tu wa barabara kubwa tu.