Kuwe na namna nzuri ya kuwapata, kuwapima na kuwasimamia Wakurugenzi wa Halmashauri

Maria Nyedetse

JF-Expert Member
Apr 24, 2021
657
1,485
Wanajamvi habari za usiku,

Nilikuwa naangalia taarifa ya habari nyumbani kwangu na rafiki ambaye amenitembelea, nikaona taarifa ya walimu kuandamana kutoka jijini Mwanza wakimlalamikia mkurugenzi juu wa malipo yao ya kazi ya kukusanya taarifa za anwani za makazi. Nikashangaa inawezekanaje mlishakubaliana na kusainiana mkataba halafu baadala terms na malipo yanabadilishwa? Kwa nini Mwanza na si nchi nzima?

Hapa ndipo rafiki yangu ambaye anafanya kazi LGA [halmashauri moja hapa nchini] alipoanza kunisimulia madudu ya hawa watu wanaoitwa wakurugenzi na jinsi walivyo na power without check and balance.

Wakurugenzi wanateuliwa na Rais na wanafanya kazi chini ya baraza la madiwani lakini mkurugenzi huyu ndiye msimamizi wa uchaguzi uliowaingiza madiwani, ndiye anawalipa posho za vikao, ndiye mwenye maamuzi wapi mradi uende na wapi usiende. Technically yeye ni basi wa madiwani na sii kinyume chake.

Sasa story za jinsi wanavyozisasambua fedha za LGA ndiyo zilizonishangaza mimi.

Nikawa nawaza; kwanini wakurugenzi wasiwekewe targets to achieve kama zilivyo taasisi binafsi kama mapato, uwekezaji, transforming kilimo, mifugo na afya, elimu etc.

Namna wanavyo-motivate wafanyakazi badala ya kuwazuia wafanyakazi kuhama hata kama wanafanyiwa madhila.

Ikiwezekana nafasi hizi ziwe zitangazwa na watu kuomba na kusailiwa kulingana na uwezo wao na siyo kuteuliwa na rais pekee au wajadiliwe bungeni jina kwa jina.

Ni ngumu sana Rais kusimamia wakurugenzi wote nchini. Lakini pia waziri hana nguvu kwao kwa sababu mamlaka ya uteuzi ya waziri na mkurugenzi ni moja.

Maoni: Kuwe na namna nzuri ya kuwapata, kuwapima na kuwasimamia hawa watu!

Wenye uzoefu na LGA [halmashauri] leteni uzoefu wenu hapa, isijekuwa nimedanganywa.
 
LGA haziwezi kuendelea,mfumo wake umekaa "dominant",hakuna target,hakuna malengo hakuna action plan,.....ni kujiamulia tu.....ni ngumu sana kuwakuta watu smart wanafanya kazi halmashauri
 
Wanajamvi Habari za usiku....

Nilikuwa naangalia taarifa ya habari nyumbani kwangu na rafiki ambaye amenitembelea, nikaona taarifa ya Walimu kuandamana kutoka jijini Mwanza wakimlalamikia MKURUGENZI JUU WA MALIPO YAO YA KAZI YA KUKUSANYA TAARIFA ZA ANWANI ZA MAKAZI.... nikashangaa inawezekanaje mlishakubaliana na kusainiana mkataba halafu baadala terms na malipo yanabadilishwa? Kwa nini Mwanza na sii nchi nzima?

Hapa ndipo rafiki yangu ambaye anafanya kazi LGA [HALMASHAURI MOJA HAPA NCHINI] Alipoanza kunisimulia madudu ya hawa watu wanaoitwa WAKURUGENZI NA JINSI WALIVYO NA POWER Without Check and Balance...

WAKURUGENZI wanateuliwa na Raisi na wanafanya kazi chini ya Baraza la madiwani LAKINI MKURUGENZI huyu ndiye msimamizi wa uchaguzi uliowaingiza madiwani, ndiye anawalipa posho za vikao, ndiye mwenye maamuzi wapi mradi uende na wapi usiende.... TECHNICALLY yeye ni basi wa madiwani na sii kinyume chake....

Sasa story za jinsi wanavyozisasambua fedha za LGA ndiyo zilizonishangaza MIMI....

Nikawa nawaza; Kwanini wakurugenzi wasiwekewe targets to achieve kama zilivyo TAASISI BINAFSI kama mapato, uwekezaji, transforming kilimo, mifugo na Afya, elimu etc...

Namna wanavyomotivate wafanyakazi BADALA YA KUWAZUIA WAFANYAKAZI KUHAMA HATA KAMA WANAFANYIWA MADHILA!!!!

Ikiwezekana nafisihii ziwe zitangazwa na watu kuomba na kusailiwa kulingana na uwezo wao na siyo kuteuliwa na RAIS Pekee au wajadiliwe BUNGENI Jima kwa jina!!!!!

Ni ngumu sana Raisi kusimamia WAKURUGENZI wote nchini!!!! Lakini pia waziri hana nguvu kwao kwa sababu mamlaka ya uteuzi ya waziri na MKURUGENZI ni moja,,


Maoni: Lowe na namna nzuri ya kuwapata, kuwapima na kuwasimamia hwan watu!!!!


Wenye uzoefu na LGA [HALMASHAURI] Leteno uzoefu wenu hapa.... isijekuwa nimedanganywa.....
Cha kwanza mara nyingi employees wa LGA ni wale vilaza vyuoni hivyo sio wabunifu, cream ya graduates huchukuliwa na private sector, Voda, CRDB etc
 
Ninachojiuliza; Huyu MKURUGENZI anapimwaje? Je asipomwona RAIS nani atamwajibisha kulingana na madudu yake?

Wenye utaalamu na uzoefu watupatie uzoefu.....
 
Wanajamvi Habari za usiku....

Nilikuwa naangalia taarifa ya habari nyumbani kwangu na rafiki ambaye amenitembelea, nikaona taarifa ya Walimu kuandamana kutoka jijini Mwanza wakimlalamikia MKURUGENZI JUU WA MALIPO YAO YA KAZI YA KUKUSANYA TAARIFA ZA ANWANI ZA MAKAZI.... nikashangaa inawezekanaje mlishakubaliana na kusainiana mkataba halafu baadala terms na malipo yanabadilishwa? Kwa nini Mwanza na sii nchi nzima?

Hapa ndipo rafiki yangu ambaye anafanya kazi LGA [HALMASHAURI MOJA HAPA NCHINI] Alipoanza kunisimulia madudu ya hawa watu wanaoitwa WAKURUGENZI NA JINSI WALIVYO NA POWER Without Check and Balance...

WAKURUGENZI wanateuliwa na Raisi na wanafanya kazi chini ya Baraza la madiwani LAKINI MKURUGENZI huyu ndiye msimamizi wa uchaguzi uliowaingiza madiwani, ndiye anawalipa posho za vikao, ndiye mwenye maamuzi wapi mradi uende na wapi usiende.... TECHNICALLY yeye ni basi wa madiwani na sii kinyume chake....

Sasa story za jinsi wanavyozisasambua fedha za LGA ndiyo zilizonishangaza MIMI....

Nikawa nawaza; Kwanini wakurugenzi wasiwekewe targets to achieve kama zilivyo TAASISI BINAFSI kama mapato, uwekezaji, transforming kilimo, mifugo na Afya, elimu etc...

Namna wanavyomotivate wafanyakazi BADALA YA KUWAZUIA WAFANYAKAZI KUHAMA HATA KAMA WANAFANYIWA MADHILA!!!!

Ikiwezekana nafisihii ziwe zitangazwa na watu kuomba na kusailiwa kulingana na uwezo wao na siyo kuteuliwa na RAIS Pekee au wajadiliwe BUNGENI Jima kwa jina!!!!!

Ni ngumu sana Raisi kusimamia WAKURUGENZI wote nchini!!!! Lakini pia waziri hana nguvu kwao kwa sababu mamlaka ya uteuzi ya waziri na MKURUGENZI ni moja,,


Maoni: Lowe na namna nzuri ya kuwapata, kuwapima na kuwasimamia hwan watu!!!!


Wenye uzoefu na LGA [HALMASHAURI] Leteno uzoefu wenu hapa.... isijekuwa nimedanganywa.....
Aliyekusimulia hana uelewa na LGA
Halmashauri inaendeshwa na Baraza la Madiwani kupitia vikao vya kisheria, issue ya Mkurugenzi kuwalipa posho ni takwa la Kisheria, so Mkurugenzi anatekeleza takwa la kisheria, na ni lazima vikao vya Kamati za kudumu na vikao vya baraza la madiwani vifanyike kila robo ya mwaka wa fedha ukiacha kikao cha kamati ya fedha ambacho kila mwezi lazima kikae kwa ajili ya kupitia mapato na matumizi ya Halmashauri. In short hakuna diwani ambaye atashindwa kutekeleza wajibu wake kwa kuwa analipwa posho ya kikao na DED, ile posho anayolipwa ya kikao ni Fedha ya Serikali na inakaguliwa na CAG kama zilivyo fedha nyingine.
Kuhusu utekelezaji wa Miradi, Miradi inayotekelezwa Halmashauri iwe ya Fedha za mapato ya ndani, Fedha kutoka Serikali Kuu au Fedha za Wafadhili/Wadau mbali mbali wa maendeleo ni lazima iwe imepitishwa na vikao halali vya kamati za madiwani na kuthibitishwa na baraza la Madiwani. Mchakato wa uandaaji Bajeti ya mapato na matumizi ya Halmashauri kwa maana ya matumizi ya shughuli za kawaida (Recurrent) na ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo(Development) inaanzia katika ngazi ya chini kabisa kwa maana ya Vitongoji, Vijiji na Kata kwa kushirikisha wadau mbali mbali ,hatimaye mchakato unaenda ngazi ya Wilaya kwa kila Idara/kitengo kupitia maeneo muhimu na hatimaye Afisa bajeti (DPLO) kupitia Idara ya Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji anaunganisha ili kupata randama inayoenda kuwasilishwa, kuchambuliwa na kutolewa mapendekezo na timu ya uongozi wa Halmashauri (CMT- Council Management Team), baada ya hapo randama ya bajeti inaenda kuwasilishwa katika vikao vya Kamati za madiwani ambako huko nako maoni, mapendekezo, marekebisho na ushauri unatolewa na Waheshimiwa Madiwani, mgawanyo wa miradi na namna ya kutekeleza huchambuliwa pia. Baada ya kamati kumaliza randama inapelekwa kamati ya Fedha kujadiliwa na kupitishwa na Mwisho randama hiyo inapelekwa katika kikao cha mwisho cha maamuzi ambacho ni Baraza la Madiwani kwa ajili ya kujadili na kuidhinisha bajeti ya Halmashauri kwa ajili ya kuendelea na mchakato kwa ngazi ya RS na Wizara na hatimaye kupitishwa na BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. Hivyo sio kweli kwamaba Mkurugenzi anajiamulia tu wapi kwa kupeleka miradi .
Kuhusu kupangiwa Target, nafikiri hufuatilii mambo, Waziri wa nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI kila robo mwaka wa fedha anatoa tathimin ya kila Halmashauri kuanzia ukusanyaji wa mapato, utekelezaji wa miradi ya maendeleo, utoaji wa mikopo ya asilimia kumi kwa Wanawake Vijana na Watu wenye ulemavu etc.. Hivyo kila Mkurugenzi anapimwa kwa mambo mengi saana, Wakurugenzi wanapimwa kwa utendaji wao wa kazi. Serikali hii ina namna mfumo mzuri wa kuwasimamia Watumishi wake, Kutoka kwa Rais kuna Mawaziri wanaomsaidia, Wakuu wa Mikoa, RAS, Wakuu wa Wilaya etc..
MUNGU IBARIKI TANZANIA,
Issue ya usimamizi wa uchaguzi iko kwa mujibu wa Sheria.
 
Aliyekusimulia hana uelewa na LGA
Halmashauri inaendeshwa na Baraza la Madiwani kupitia vikao vya kisheria, issue ya Mkurugenzi kuwalipa posho ni takwa la Kisheria, so Mkurugenzi anatekeleza takwa la kisheria, na ni lazima vikao vya Kamati za kudumu na vikao vya baraza la madiwani vifanyike kila robo ya mwaka wa fedha ukiacha kikao cha kamati ya fedha ambacho kila mwezi lazima kikae kwa ajili ya kupitia mapato na matumizi ya Halmashauri. In short hakuna diwani ambaye atashindwa kutekeleza wajibu wake kwa kuwa analipwa posho ya kikao na DED, ile posho anayolipwa ya kikao ni Fedha ya Serikali na inakaguliwa na CAG kama zilivyo fedha nyingine.
Kuhusu utekelezaji wa Miradi, Miradi inayotekelezwa Halmashauri iwe ya Fedha za mapato ya ndani, Fedha kutoka Serikali Kuu au Fedha za Wafadhili/Wadau mbali mbali wa maendeleo ni lazima iwe imepitishwa na vikao halali vya kamati za madiwani na kuthibitishwa na baraza la Madiwani. Mchakato wa uandaaji Bajeti ya mapato na matumizi ya Halmashauri kwa maana ya matumizi ya shughuli za kawaida (Recurrent) na ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo(Development) inaanzia katika ngazi ya chini kabisa kwa maana ya Vitongoji, Vijiji na Kata kwa kushirikisha wadau mbali mbali ,hatimaye mchakato unaenda ngazi ya Wilaya kwa kila Idara/kitengo kupitia maeneo muhimu na hatimaye Afisa bajeti (DPLO) kupitia Idara ya Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji anaunganisha ili kupata randama inayoenda kuwasilishwa, kuchambuliwa na kutolewa mapendekezo na timu ya uongozi wa Halmashauri (CMT- Council Management Team), baada ya hapo randama ya bajeti inaenda kuwasilishwa katika vikao vya Kamati za madiwani ambako huko nako maoni, mapendekezo, marekebisho na ushauri unatolewa na Waheshimiwa Madiwani, mgawanyo wa miradi na namna ya kutekeleza huchambuliwa pia. Baada ya kamati kumaliza randama inapelekwa kamati ya Fedha kujadiliwa na kupitishwa na Mwisho randama hiyo inapelekwa katika kikao cha mwisho cha maamuzi ambacho ni Baraza la Madiwani kwa ajili ya kujadili na kuidhinisha bajeti ya Halmashauri kwa ajili ya kuendelea na mchakato kwa ngazi ya RS na Wizara na hatimaye kupitishwa na BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. Hivyo sio kweli kwamaba Mkurugenzi anajiamulia tu wapi kwa kupeleka miradi .
Kuhusu kupangiwa Target, nafikiri hufuatilii mambo, Waziri wa nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI kila robo mwaka wa fedha anatoa tathimin ya kila Halmashauri kuanzia ukusanyaji wa mapato, utekelezaji wa miradi ya maendeleo, utoaji wa mikopo ya asilimia kumi kwa Wanawake Vijana na Watu wenye ulemavu etc.. Hivyo kila Mkurugenzi anapimwa kwa mambo mengi saana, Wakurugenzi wanapimwa kwa utendaji wao wa kazi. Serikali hii ina namna mfumo mzuri wa kuwasimamia Watumishi wake, Kutoka kwa Rais kuna Mawaziri wanaomsaidia, Wakuu wa Mikoa, RAS, Wakuu wa Wilaya etc..
MUNGU IBARIKI TANZANIA,
Issue ya usimamizi wa uchaguzi iko kwa mujibu wa Sheria.
Wazee wa Halmashauri kuna mahali wametumia 600m kuchimba bwawa la maji....ambalo halionekani
 
Cha kwanza mara nyingi employees wa LGA ni wale vilaza vyuoni hivyo sio wabunifu, cream ya graduates huchukuliwa na private sector, Voda, CRDB etc
Acha dharau wewe..ukute ukoo mzima wewe ndio umebahatika kusoma...kuajiriwa ubank teller isiwe nongwa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Aliyekusimulia hana uelewa na LGA
Halmashauri inaendeshwa na Baraza la Madiwani kupitia vikao vya kisheria, issue ya Mkurugenzi kuwalipa posho ni takwa la Kisheria, so Mkurugenzi anatekeleza takwa la kisheria, na ni lazima vikao vya Kamati za kudumu na vikao vya baraza la madiwani vifanyike kila robo ya mwaka wa fedha ukiacha kikao cha kamati ya fedha ambacho kila mwezi lazima kikae kwa ajili ya kupitia mapato na matumizi ya Halmashauri. In short hakuna diwani ambaye atashindwa kutekeleza wajibu wake kwa kuwa analipwa posho ya kikao na DED, ile posho anayolipwa ya kikao ni Fedha ya Serikali na inakaguliwa na CAG kama zilivyo fedha nyingine.
Kuhusu utekelezaji wa Miradi, Miradi inayotekelezwa Halmashauri iwe ya Fedha za mapato ya ndani, Fedha kutoka Serikali Kuu au Fedha za Wafadhili/Wadau mbali mbali wa maendeleo ni lazima iwe imepitishwa na vikao halali vya kamati za madiwani na kuthibitishwa na baraza la Madiwani. Mchakato wa uandaaji Bajeti ya mapato na matumizi ya Halmashauri kwa maana ya matumizi ya shughuli za kawaida (Recurrent) na ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo(Development) inaanzia katika ngazi ya chini kabisa kwa maana ya Vitongoji, Vijiji na Kata kwa kushirikisha wadau mbali mbali ,hatimaye mchakato unaenda ngazi ya Wilaya kwa kila Idara/kitengo kupitia maeneo muhimu na hatimaye Afisa bajeti (DPLO) kupitia Idara ya Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji anaunganisha ili kupata randama inayoenda kuwasilishwa, kuchambuliwa na kutolewa mapendekezo na timu ya uongozi wa Halmashauri (CMT- Council Management Team), baada ya hapo randama ya bajeti inaenda kuwasilishwa katika vikao vya Kamati za madiwani ambako huko nako maoni, mapendekezo, marekebisho na ushauri unatolewa na Waheshimiwa Madiwani, mgawanyo wa miradi na namna ya kutekeleza huchambuliwa pia. Baada ya kamati kumaliza randama inapelekwa kamati ya Fedha kujadiliwa na kupitishwa na Mwisho randama hiyo inapelekwa katika kikao cha mwisho cha maamuzi ambacho ni Baraza la Madiwani kwa ajili ya kujadili na kuidhinisha bajeti ya Halmashauri kwa ajili ya kuendelea na mchakato kwa ngazi ya RS na Wizara na hatimaye kupitishwa na BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. Hivyo sio kweli kwamaba Mkurugenzi anajiamulia tu wapi kwa kupeleka miradi .
Kuhusu kupangiwa Target, nafikiri hufuatilii mambo, Waziri wa nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI kila robo mwaka wa fedha anatoa tathimin ya kila Halmashauri kuanzia ukusanyaji wa mapato, utekelezaji wa miradi ya maendeleo, utoaji wa mikopo ya asilimia kumi kwa Wanawake Vijana na Watu wenye ulemavu etc.. Hivyo kila Mkurugenzi anapimwa kwa mambo mengi saana, Wakurugenzi wanapimwa kwa utendaji wao wa kazi. Serikali hii ina namna mfumo mzuri wa kuwasimamia Watumishi wake, Kutoka kwa Rais kuna Mawaziri wanaomsaidia, Wakuu wa Mikoa, RAS, Wakuu wa Wilaya etc..
MUNGU IBARIKI TANZANIA,
Issue ya usimamizi wa uchaguzi iko kwa mujibu wa Sheria.
Kwa hakika umeandika in detail na nimejifunza mengi...

Itabidi nirudie kuusoma mara kadha to fully grasp the procedures involved and chain of command


Ubarikiwe sana
 
Aliyekusimulia hana uelewa na LGA
Halmashauri inaendeshwa na Baraza la Madiwani kupitia vikao vya kisheria, issue ya Mkurugenzi kuwalipa posho ni takwa la Kisheria, so Mkurugenzi anatekeleza takwa la kisheria, na ni lazima vikao vya Kamati za kudumu na vikao vya baraza la madiwani vifanyike kila robo ya mwaka wa fedha ukiacha kikao cha kamati ya fedha ambacho kila mwezi lazima kikae kwa ajili ya kupitia mapato na matumizi ya Halmashauri. In short hakuna diwani ambaye atashindwa kutekeleza wajibu wake kwa kuwa analipwa posho ya kikao na DED, ile posho anayolipwa ya kikao ni Fedha ya Serikali na inakaguliwa na CAG kama zilivyo fedha nyingine.
Kuhusu utekelezaji wa Miradi, Miradi inayotekelezwa Halmashauri iwe ya Fedha za mapato ya ndani, Fedha kutoka Serikali Kuu au Fedha za Wafadhili/Wadau mbali mbali wa maendeleo ni lazima iwe imepitishwa na vikao halali vya kamati za madiwani na kuthibitishwa na baraza la Madiwani. Mchakato wa uandaaji Bajeti ya mapato na matumizi ya Halmashauri kwa maana ya matumizi ya shughuli za kawaida (Recurrent) na ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo(Development) inaanzia katika ngazi ya chini kabisa kwa maana ya Vitongoji, Vijiji na Kata kwa kushirikisha wadau mbali mbali ,hatimaye mchakato unaenda ngazi ya Wilaya kwa kila Idara/kitengo kupitia maeneo muhimu na hatimaye Afisa bajeti (DPLO) kupitia Idara ya Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji anaunganisha ili kupata randama inayoenda kuwasilishwa, kuchambuliwa na kutolewa mapendekezo na timu ya uongozi wa Halmashauri (CMT- Council Management Team), baada ya hapo randama ya bajeti inaenda kuwasilishwa katika vikao vya Kamati za madiwani ambako huko nako maoni, mapendekezo, marekebisho na ushauri unatolewa na Waheshimiwa Madiwani, mgawanyo wa miradi na namna ya kutekeleza huchambuliwa pia. Baada ya kamati kumaliza randama inapelekwa kamati ya Fedha kujadiliwa na kupitishwa na Mwisho randama hiyo inapelekwa katika kikao cha mwisho cha maamuzi ambacho ni Baraza la Madiwani kwa ajili ya kujadili na kuidhinisha bajeti ya Halmashauri kwa ajili ya kuendelea na mchakato kwa ngazi ya RS na Wizara na hatimaye kupitishwa na BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. Hivyo sio kweli kwamaba Mkurugenzi anajiamulia tu wapi kwa kupeleka miradi .
Kuhusu kupangiwa Target, nafikiri hufuatilii mambo, Waziri wa nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI kila robo mwaka wa fedha anatoa tathimin ya kila Halmashauri kuanzia ukusanyaji wa mapato, utekelezaji wa miradi ya maendeleo, utoaji wa mikopo ya asilimia kumi kwa Wanawake Vijana na Watu wenye ulemavu etc.. Hivyo kila Mkurugenzi anapimwa kwa mambo mengi saana, Wakurugenzi wanapimwa kwa utendaji wao wa kazi. Serikali hii ina namna mfumo mzuri wa kuwasimamia Watumishi wake, Kutoka kwa Rais kuna Mawaziri wanaomsaidia, Wakuu wa Mikoa, RAS, Wakuu wa Wilaya etc..
MUNGU IBARIKI TANZANIA,
Issue ya usimamizi wa uchaguzi iko kwa mujibu wa Sheria.
Ndugu mkurugenzi, mbona unajitetea sana?
 
Hilo bwawa lipo, ila inabidi uwe na miwani wanayovaa watu wa usalama ili uweze kuliona

Karibu sana
Yaani HALMASHAURI wazisngalie upya utendaji wake, viongozi, namna wanavyopatikana na namna wanavyotekeleza majukumu yao...

Naona TUMBUATUMBUA SIYO MWAROBANI....

INGEKUWA WANAOFISADI WANAPIGWA BANN YA KUSHIKA OFISI YA UMMA MILELE NA KUFILISIWA KABISA
 
Back
Top Bottom