Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
Wana Ukumbi.
Nafikiri ni vizuri sana kuweka mjadala wa wazi kuhusu uundwaji wa katiba mpya na ufahamu wa katiba kati ya Chadema na CUF zanzibar. Na ningeshauri wahusika wawe Mh Abubakar Bakari na Mh Juma Duni Hadji (hawa kutoka Baraza la wawakilishi CUF Zanzibar na Tindu Lissu na Zitto au Mnyika au hata Prof Safari au Mabere marando au wote hawa.
Hapa nafikiri mtaona wazi kuchambuliwa kwa Katiba iliyopo na ile inayotakikana. Kwani kuna mengi ambayo naona Tindu Lisu anatumia kuinyonyoa Zanzibar bila kukutana na wachambuzi wazuri na mahiri wa siasa na sheria hususan mambo ya katiba.
WaTz mjaribu kushawishi kukutanisha watu hao muone uzuri na udhaifu wa vyama na taaluna zinavyotumiwa vibaya kwa jamii.
Andaeni mjadala huo.
Nafikiri ni vizuri sana kuweka mjadala wa wazi kuhusu uundwaji wa katiba mpya na ufahamu wa katiba kati ya Chadema na CUF zanzibar. Na ningeshauri wahusika wawe Mh Abubakar Bakari na Mh Juma Duni Hadji (hawa kutoka Baraza la wawakilishi CUF Zanzibar na Tindu Lissu na Zitto au Mnyika au hata Prof Safari au Mabere marando au wote hawa.
Hapa nafikiri mtaona wazi kuchambuliwa kwa Katiba iliyopo na ile inayotakikana. Kwani kuna mengi ambayo naona Tindu Lisu anatumia kuinyonyoa Zanzibar bila kukutana na wachambuzi wazuri na mahiri wa siasa na sheria hususan mambo ya katiba.
WaTz mjaribu kushawishi kukutanisha watu hao muone uzuri na udhaifu wa vyama na taaluna zinavyotumiwa vibaya kwa jamii.
Andaeni mjadala huo.