Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
Aisee nisaidieni hili tatizo tangu majuzi nasikia uume unawasha washa si kawaida......nina kawaida ya kufanya mapenzi bila condom kwa shori wangu namuamini sana ndio maana nimejilipua ....ila tangu jana nasikia muwasho hivi aiseeesuala la kwamba shori ana maambukizo sio la kweli...kamepima maajuzi vitu vyoote
Tatizo ni nini au hivi vyoo vyetu vya uswahilini?? maana ukienda kujisaidia unajikuta uume kama ni mrefu sometime unagusa sink.....JF Dr nitumie dawa gani?
Tatizo ni nini au hivi vyoo vyetu vya uswahilini?? maana ukienda kujisaidia unajikuta uume kama ni mrefu sometime unagusa sink.....JF Dr nitumie dawa gani?