HongeraNilienda pharmacy nikanunua dawa za minyoo nikameza.
Tatizo liliisha.
Nenda hospitalNapenda kufaham je mtu kuwashwa sehemu ya haja kubwa ni ugonjwa Je inasababishwa na minyooo? Ili kuzuia huo muwasho mhusika anaweza kutumua dawa gani?
Mimi nataka tu kujua umewaza nini mkuuKuna watu watakuja kuchafua hii post
Unatakiwa Ukunwe na GwajuMabirianiNapenda kufaham je mtu kuwashwa sehemu ya haja kubwa ni ugonjwa Je inasababishwa na minyooo? Ili kuzuia huo muwasho mhusika anaweza kutumua dawa gani?
Michezo ya AMBER RUTY,acha hiyo michezo kabisaNapenda kufaham je mtu kuwashwa sehemu ya haja kubwa ni ugonjwa Je inasababishwa na minyooo? Ili kuzuia huo muwasho mhusika anaweza kutumua dawa gani?
Kuwashwa haja kubwa na kupimwa mkojo wapi na wapi mzee mwenzangu!Inawezekana hao ni fungus, hivyo inabidi akamuone daktari ampe vidonge vya kuingiza sehemu ya siri au cream ya kupaka.
-Vile vile inawezekana anapenda kuvaa chupi wakati sehemu ya siri sio kukavu, anapomaliza kuoga ahakikishe ajifute vizuri ndipo avae chupi, unyevu nyevu sehemu za siri unaweza kusababisha kuwashwa.
-Ahakikishe anajisafisha vizuri sehemu za siri, wanawake wana utoko sehemu zao za siri, hivyo ahakikishe kila siku kujisafisha hadi ndani ili utoko wote utoke. Kama akiwa na utoko nao unaweza kusababisha kuwashwa.
- Azingatie usafi wa hayo niliyotaja hapo juu, kama muwasho unaendelea akamuone daktari na achukuliwe kipimo cha mkojo.
Inawezekana hao ni fungus, hivyo inabidi akamuone daktari ampe vidonge vya kuingiza sehemu ya siri au cream ya kupaka.
-Vile vile inawezekana anapenda kuvaa chupi wakati sehemu ya siri sio kukavu, anapomaliza kuoga ahakikishe ajifute vizuri ndipo avae chupi, unyevu nyevu sehemu za siri unaweza kusababisha kuwashwa.
-Ahakikishe anajisafisha vizuri sehemu za siri, wanawake wana utoko sehemu zao za siri, hivyo ahakikishe kila siku kujisafisha hadi ndani ili utoko wote utoke. Kama akiwa na utoko nao unaweza kusababisha kuwashwa.
- Azingatie usafi wa hayo niliyotaja hapo juu, kama muwasho unaendelea akamuone daktari na achukuliwe kipimo cha mkojo.
inatakiwa apimwe damu huenda ana bacteria ndani ya damu au asidi iliyozidi mwilini nilikosea nilifikiri njia ya mkojo.Kuwashwa haja kubwa na kupimwa mkojo wapi na wapi mzee mwenzangu!
Mkuu asidi ikizidi mwilini husababisha muwasho njia ya haja kubwa?inatakiwa apimwe damu huenda ana bacteria ndani ya damu au asidi iliyozidi mwilini nilikosea nilifikiri njia ya mkojo.