Kuwashwa sehemu ya haja kubwa

Hili Jukwaa la afya lakini wana JF tuna upuuzi mwingi

Badala ya kucomment upuuzi si bora ukae kimya au uende jukwaa husika

Huwezi kumsaidia mtu ficha upumbavu wako
 
Iyo ni bawasili mzee inatokana na kukaa sana chooni au kufanya mapenzi kinyume na maumbile
 
Hujisafishi vizuri mkuu, maana kama hujisafishi vizuri hupelekea , kinyesi kuchubua sehehemu laini za juu ya mkundu kitu ambacho hupelekea kusikia muwasho sehemu bizo kunapo kuwa na ama joto au mabaki ya kinyesi kisicho safishwa vizuri, kuku washa mithiri ya unahitaji dushee.

Miwasho hiyo hutokana na asili ya kinyesi ambacho kwa asili kina kuwa na mabaki ya kimikali mwili ambazo ni pamoja na hydrochloric acid inayo patikana tumboni wakati wa mmengenyo. Jisafishe vizuri alafu utatupatia mrejesho hapa, la mwisho pole miwasho kama itazidi hata baada ya zoezi hili kamuone daktari labda kutakuwa na maambukizi ya fangus yatokanayo na uchafu wako wa kuto jisafisha vizuri,

Kama wewe ni k basi jaribu kuacha huo mchezo wa du ndu dudu dunduru ndundu express your self.........
 
Inawezekana hao ni fungus, hivyo inabidi akamuone daktari ampe vidonge vya kuingiza sehemu ya siri au cream ya kupaka.
-Vile vile inawezekana anapenda kuvaa chupi wakati sehemu ya siri sio kukavu, anapomaliza kuoga ahakikishe ajifute vizuri ndipo avae chupi, unyevu nyevu sehemu za siri unaweza kusababisha kuwashwa.
-Ahakikishe anajisafisha vizuri sehemu za siri, wanawake wana utoko sehemu zao za siri, hivyo ahakikishe kila siku kujisafisha hadi ndani ili utoko wote utoke. Kama akiwa na utoko nao unaweza kusababisha kuwashwa.
- Azingatie usafi wa hayo niliyotaja hapo juu, kama muwasho unaendelea akamuone daktari na achukuliwe kipimo cha mkojo.
Kuwashwa haja kubwa na kupimwa mkojo wapi na wapi mzee mwenzangu!
 
Inawezekana hao ni fungus, hivyo inabidi akamuone daktari ampe vidonge vya kuingiza sehemu ya siri au cream ya kupaka.
-Vile vile inawezekana anapenda kuvaa chupi wakati sehemu ya siri sio kukavu, anapomaliza kuoga ahakikishe ajifute vizuri ndipo avae chupi, unyevu nyevu sehemu za siri unaweza kusababisha kuwashwa.
-Ahakikishe anajisafisha vizuri sehemu za siri, wanawake wana utoko sehemu zao za siri, hivyo ahakikishe kila siku kujisafisha hadi ndani ili utoko wote utoke. Kama akiwa na utoko nao unaweza kusababisha kuwashwa.
- Azingatie usafi wa hayo niliyotaja hapo juu, kama muwasho unaendelea akamuone daktari na achukuliwe kipimo cha mkojo.

Mkuu hatushauri mwanamke kujisafisha ndani ya uke safisha nje tu inatosha
Kusafisha ndani unaweza kuua wale bacteria wazuri wanaoulinda uke na kuwapa nafasi wabaya kushambulia na kupelekea kupata magonjwa mbalimbali
 
Back
Top Bottom