mshana org
JF-Expert Member
- Jan 28, 2012
- 2,091
- 618
habari wana ndugu.binafsi tatizo hili limenitokea koo linawasha kwandani ninapojaribu kukorota yani kulikuna najikuta nikitema damu.hata asubuh wakati wa kuswaki nikisugua ulimi hali hii hujitokeza nimeshindwa kuelewa niugonjwa gani na tiba inakuaje?naombeni msaada tafadhali niepukane na halihii