Truth Teller
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 1,624
- 2,880
Habari zenu wakuu, matumaini mnaendelea vyema.
Hivi inakuaje mtu akitoka kuoga huwa anawashwa? Majua mtasema maji au sabuni lakini HAPANA. Unakuta mtu kama hatoga kwa siku 3 au 2 akija kuoga atawashwa. Hii imekaaje?
Unakuta anaweza chukua kama dakika 15/30 akawa anawashwa na mbaya zaidi endapo akajikuna muwasho unazidi lakini kama ataupotezea kukuna basi muwasho utapungua taratibu.
Naomba majibu wakuu
Hivi inakuaje mtu akitoka kuoga huwa anawashwa? Majua mtasema maji au sabuni lakini HAPANA. Unakuta mtu kama hatoga kwa siku 3 au 2 akija kuoga atawashwa. Hii imekaaje?
Unakuta anaweza chukua kama dakika 15/30 akawa anawashwa na mbaya zaidi endapo akajikuna muwasho unazidi lakini kama ataupotezea kukuna basi muwasho utapungua taratibu.
Naomba majibu wakuu