Gogovivu45
JF-Expert Member
- Oct 10, 2019
- 229
- 133
Habari za asubuhi wadau.
ninajikita moja kwa moja kwenye uzi, Nina shida moja ya kupiga chafya hali inayopelekea kuhisi muwasho sehemu za kifua, mgongoni na sehemu ya shingo kwa nyuma, na kasi huwa ni kubwa majira ya usiku... japo sijaenda kwa doctor nimeona niweke hapa kwanza maana nina imani umu kuna wajuvi wa mambo sana..
msaada wenu please.
ninajikita moja kwa moja kwenye uzi, Nina shida moja ya kupiga chafya hali inayopelekea kuhisi muwasho sehemu za kifua, mgongoni na sehemu ya shingo kwa nyuma, na kasi huwa ni kubwa majira ya usiku... japo sijaenda kwa doctor nimeona niweke hapa kwanza maana nina imani umu kuna wajuvi wa mambo sana..
msaada wenu please.