MAAMUZI MAGUMU
Member
- Sep 13, 2011
- 11
- 5
http://4.bp.blogspot.com/-jMW2c5L7I...NI+WA+VITI+MAALUMU+KATA+YA+NGOHELANGA+CCM.JPG
Huyu mama ni diwani wa CCM akiwapigia magoti mawaziri kuombea wananchi wake waruhusiwe kuendelea kulima katika bonde la Kilombero. Je imefikia hatua ya viongozi wetu kuabudiwa kama miungu? Na je dunia ilipoumbwa si kila mtu mahali alipolizaliwa ndio eneo lake la kujipatia riziki na kuishi? Cha ajabu tanzania watu wanafukuzwa maeneo yao ya asili na kupewa wageni. Kilichobaki ni kupigia watu magoti hata kile ulichopiwa na Mungu.
Huyu mama ni diwani wa CCM akiwapigia magoti mawaziri kuombea wananchi wake waruhusiwe kuendelea kulima katika bonde la Kilombero. Je imefikia hatua ya viongozi wetu kuabudiwa kama miungu? Na je dunia ilipoumbwa si kila mtu mahali alipolizaliwa ndio eneo lake la kujipatia riziki na kuishi? Cha ajabu tanzania watu wanafukuzwa maeneo yao ya asili na kupewa wageni. Kilichobaki ni kupigia watu magoti hata kile ulichopiwa na Mungu.