Duniahadaa
JF-Expert Member
- Oct 16, 2017
- 336
- 677
Uchaguzi umekaribia, wale waliotuacha CCM wao wakamfuata mamvi, wakapata udiwani na ubunge, leo hii wameona uchaguzi umefika wanakuja kwa sharti kuwa wapewe nafasi ya kugombea. Je, sisi tulikipigani chama mmeamua kutuweka kando. Au ni mkakati wa CHADEMA kuja kivingine kuchukua kwa sura ya kuunga juhudi za Rais wetu? swali: KUWAPA NAFASI WAGOMBEA KUTOKA CHADEMA KUGOMBEA UBUNGE NA UDIWANI CCM, WAKATI SISI TULIMPIGANIA JPM WAO WAKIiZUNGUSHA MIKONO NA LOWASA IMEKAAJE?
MAENDELEO HAYANA VYAMA!
MAENDELEO HAYANA VYAMA!