Kuwahishwa kwa muda wa udahili NACTE, kunaamaanisha matokeo ya kidato cha nne yatawahi kutoka?

UZZIMMA

JF-Expert Member
Nov 20, 2014
406
456
NACTE wametangaza udahili ni tarehe 23 Januari. Na wengi wetu tunasubiri matokeo ya CSEE 2016 ili tujidahili. Na matokeo yakichelewa huenda vyuo vikajaa.

Basi kwa yeyote anayejua tetesi za matokeo kama yatawahi au kuchelewa kutoka tujuzana. Maana mapigo ya moyo yanakimbia kwa kasi ya 4G.
 
NACTE wametangaza udahili ni tarehe 23 Januari. Na wengi wetu tunasubiri matokeo ya CSEE 2016 ili tujidahili. Na matokeo yakichelewa huenda vyuo vikajaa.

Basi kwa yeyote anayejua tetesi za matokeo kama yatawahi au kuchelewa kutoka tujuzana. Maana mapigo ya moyo yanakimbia kwa kasi ya 4G.
NACTE wametangaza udahili ni tarehe 23 Januari. Na wengi wetu tunasubiri matokeo ya CSEE 2016 ili tujidahili. Na matokeo yakichelewa huenda vyuo vikajaa.

Basi kwa yeyote anayejua tetesi za matokeo kama yatawahi au kuchelewa kutoka tujuzana. Maana mapigo ya moyo yanakimbia kwa kasi ya 4G.
NACTE wametangaza udahili ni tarehe 23 Januari. Na wengi wetu tunasubiri matokeo ya CSEE 2016 ili tujidahili. Na matokeo yakichelewa huenda vyuo vikajaa.

Basi kwa yeyote anayejua tetesi za matokeo kama yatawahi au kuchelewa kutoka tujuzana. Maana mapigo ya moyo yanakimbia kwa kasi ya 4G.
NACTE wametangaza udahili ni tarehe 23 Januari. Na wengi wetu tunasubiri matokeo ya CSEE 2016 ili tujidahili. Na matokeo yakichelewa huenda vyuo vikajaa.

Basi kwa yeyote anayejua tetesi za matokeo kama yatawahi au kuchelewa kutoka tujuzana. Maana mapigo ya moyo yanakimbia kwa kasi ya 4G.
matokeo ya uuguzi ngazi zote bado hawajatoa nahs hata hayo ya form 4 yatachelewa pia
 
Back
Top Bottom