The lost
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 2,695
- 8,208
Wakuu amani iwe nanyi.
Sakata la wabunge viti maalumu CHADEMA linazidi kutokota na huu ndiyo ushauri wangu kwa Chama.
1. Mdee na genge lake watimuliwe kwani wakiachwa watakuwa madouble agents na CHADEMA itakuwa imejiua kwa kuruhusu mwanachama ambaye ni mtiifu kwa wapinzani wako kuwa sehemu ya mikakati yako.
2. Sheria haimtambui mgombea binafsi wala CCM hawana uwezo wa kuteua wabunge wa viti maalum kwa vyama pinzani hivyo wakiwafukuza na bunge kuwang'ang'ania itajulikana wazi nchi haifati utawala wa kisheria na hill litapelekea kudorora kwa mambo mengi serikalini.
# You must learn to fight fear.
Sakata la wabunge viti maalumu CHADEMA linazidi kutokota na huu ndiyo ushauri wangu kwa Chama.
1. Mdee na genge lake watimuliwe kwani wakiachwa watakuwa madouble agents na CHADEMA itakuwa imejiua kwa kuruhusu mwanachama ambaye ni mtiifu kwa wapinzani wako kuwa sehemu ya mikakati yako.
2. Sheria haimtambui mgombea binafsi wala CCM hawana uwezo wa kuteua wabunge wa viti maalum kwa vyama pinzani hivyo wakiwafukuza na bunge kuwang'ang'ania itajulikana wazi nchi haifati utawala wa kisheria na hill litapelekea kudorora kwa mambo mengi serikalini.
# You must learn to fight fear.