Majani sio shida kwenye wadudu nikiwapa dagaa"Yes u can, ili ni lazima liwe na hewa ya kutosha. Lakini pia utakuwa na kazi ya kuwaletea majani mabichi kila siku pamoja na wadudu.
Ukizingatia chanjo pamoja na kufugia kwenye eneo ambalo liko controlled hiyo ndio itakuwa salama yako.Nimejitahidi saana kufuga lakini nikifanikiwa kupiga hatua kidogo unakuja ugonjwa unaondoka na kuku woote. Na hii ndio changamoto kubwa kwenye huu mradi.
Mimi nafuga kuku wa kienyeji kwa matumizi yangu na familia (nyama na Mayai) na kuuza pale wanapokuwa wengi na pia kununulia chakula na dawa. Anachosema mleta mada si sahihi kwa kipindi kifupi hivyo.Mkuu are You serious kuku wa kienyeji 11 ndani ya miezi 3 utakuwa na kuku 300+ ???
Uongo sio kitu kizuri kabisa.... Nataka nifanye utafiti kwa kukutembelea najua utakuwa na record ya kuku wa kuanzia 11 then tuone hadi sasa una kuku wangapi????