Kuwa tajiri kwa mtaji wa laki 3 tu kupitia ufugaji wa kuku wa kienyeji

Mbona vinapatikana vyote ?
Ona hii Incubator ya mayai SABA.
haifiki hata 100,000/=

HTB1GtF_ldbJ8KJjy1zjq6yqapXab.jpg
Izi mkuu apa dar zinapatikna wap??
 
Hii michanganua kwa kuisoma hivi tu inaonekana ni simple ila ukienda field sasa.
huo ndo mpango wa biashara ni makadirio au makisio inahitaji utafuti wa kutosha kikubwa ni chanjo, na kujitahidi kukumbuka vitu vidogo dogo ka gharama za usafiri wa kuku hasa huko ununuliako, gharama za kusafirisha material, gharama za kuparaza hayo maisndi na vitu vingine vidogo ambavyo ni muhimu, ukiangalia vikubwa tuu utakwama ka utakuwa huna hela ya ziada mfukoni
 
Hii kitu sio lahisi kama wengi wanavyofikiria,ukizingatia makadirio yamewekwa juu sana.mimi nilianza hivyo mwaka jana lakini mpaka leo nina kuku kama ishirini tu maana niliamua kuwala baadhi.changamoto kubwa nilioiona ni kutunza vifaranga ili waongezeke hao kuku,hapo ndo kimbembe:confused:
 
Nipo kwenye harakat za hiyo project lakin nimeona,kuna sehemu comrade amekosea mfano kwenye bajeti ya banda
mchanganuo wa biashara unahitaji umakini sana pia wakati mwingine unagoma ka usipokuwa realistic hasa ka hapo ulipoona gharama za banda, banda unatakiwa ujenge la kudumu ili usije ingia mfukoni tena ambako kutaharibu mipango ya pesa kwahiyo lazima ujenge zuri na imara
 
  • Thanks
Reactions: Bal
Hii kitu sio lahisi kama wengi wanavyofikiria,ukizingatia makadirio yamewekwa juu sana.mimi nilianza hivyo mwaka jana lakini mpaka leo nina kuku kama ishirini tu maana niliamua kuwala baadhi.changamoto kubwa nilioiona ni kutunza vifaranga ili waongezeke hao kuku,hapo ndo kimbembe:confused:
mkuu inawezekana japo kuku wa kienyeji ukuwaji wake ni wa taratibu kingine usipende fuga ka huna elimu ya kutosha kuhusiana na ufugaji wa hicho kitu maana unawezakuta unapga mieleka bure
 
Jamani nikweli kwamba kuku wa kienyeji anatanga siku 30 mfululizo? mbona tuliokijijini tungekuwa matajili sana. acheni fix watoto wa mjini.
uwezo huo hana labda kwa wale wanaofuga machotara ama wale kuku wanaita wa malawi japo si wa kienyeji ila wanawafuga kienyeji,
 
mkuu inawezekana japo kuku wa kienyeji ukuwaji wake ni wa taratibu kingine usipende fuga ka huna elimu ya kutosha kuhusiana na ufugaji wa hicho kitu maana unawezakuta unapga mieleka bure
Sijasema haiwezekani mkuu ila nimesema sio lahisi kiasi hicho tunachoaminishwa,na kingine ni kweli kama ulivyosema hawa kuku hasa pure wa kienyeji wanakawia sana kukua na wakati mwingine usipokuwa makini wanadumaa,bora kulima mboga mboga kuliko kufuga pure kienyeji (mimi binafsi);)
 
hizi gharama si fixed kutokana na mazingira kutofautiana, mfano mie wa kijijini ntajenga banda kwa bei nafuu maana miti ntakata msituni ila wee wa mjini utanunua mbao au mabanzi,mie nitatumia kamba kujenga banda we utatumia misumari, pia ntakandika banda na kuezeka kwa nyasi, hiyo ni tofauti kubwa. pia gharama nyingine ni kujitafutia zitakuwaje kulingana na mazingira tutokayo natumai mkuu alitoa gharama za jumla na zile gharama common kwa wengi.
 
Sijasema haiwezekani mkuu ila nimesema sio lahisi kiasi hicho tunachoaminishwa,na kingine ni kweli kama ulivyosema hawa kuku hasa pure wa kienyeji wanakawia sana kukua na wakati mwingine usipokuwa makini wanadumaa,bora kulima mboga mboga kuliko kufuga pure kienyeji (mimi binafsi);)
nakubaliana nawewe mkuu mie nimefuga toka mdogo na mpaka mkubwa na nimefanya ufugaji wa kawaida mpaka wa kisasa so naelewa mfugo ukizingua hutatamani hata kusikia habari za ufugaji tena
 
Back
Top Bottom