Imany John
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 2,930
- 1,165
wapo watu watakoponda,kukashifu au kutoa kauli tofautitofauti juu ya mtu me/ke kuwa single.
Ningenda kuorodhesha baadhi tu ya faida ya mwanaume/mwanamke kuwa single.
Kuwa huru kufanya mambo/jambo lako kwa uhuru bila kutaka msaada kwa mwingine.
Kuwa huru kufanya lolote au kwenda popote muda wowote bila kipingamizi cha mtu yoyote.
Kuamua kwenda kuvinjari popote,kurudi muda wowote nyumbani bila kumuudhi au kumkwaza yeyote.
Kuwa na nafasi kubwa wa kuamua mambo na kuyafanya kwa kuisikiliza roho na si mtu mwingine.
Jamani kuwa single raha!
Mabachela mpooo.....?
Pamoja sana.
Ningenda kuorodhesha baadhi tu ya faida ya mwanaume/mwanamke kuwa single.
Kuwa huru kufanya mambo/jambo lako kwa uhuru bila kutaka msaada kwa mwingine.
Kuwa huru kufanya lolote au kwenda popote muda wowote bila kipingamizi cha mtu yoyote.
Kuamua kwenda kuvinjari popote,kurudi muda wowote nyumbani bila kumuudhi au kumkwaza yeyote.
Kuwa na nafasi kubwa wa kuamua mambo na kuyafanya kwa kuisikiliza roho na si mtu mwingine.
Jamani kuwa single raha!
Mabachela mpooo.....?
Pamoja sana.