teetotaller
JF-Expert Member
- Dec 16, 2014
- 307
- 203
NIMEONA KUKAA KIMYA SIYO BUSARA SANA NAOMBA NA MIMI NIJARIBU KUSAIDIIA KWENYE HILI,
Picha ambazo zinaonekana hapo chini za Bernard Morrison ambazo walipost simba sports club kabla ya kesi kumalizika pale tff zilikuwa danganya toto tu,
Bernard Morrison alikuwa hajasaini chochote katika club ya simba sports club hapo kwenye hizo picha hapo alikuwa anawazuga tu,utopolo fc,
Ukweli ni kwamba Bernard Morrison BM 3 alisaini simba sports club baada ya kesi yake kumalizika na yeye kuibuka mshindi,hizo picha hapo chini ndiyo mkataba walionao utopolo fc ambao wanadai kwamba unamapungufu na kweli unamapungufu maana ulikuwa feki,
kama utopolo fc wanautaka mkataba wa Bernard Morrison na simba sports club waende tff au FIFA wataukuta ule original huo walionao sasa waliingizwa chaka na simba sports club,
simba sports club waliamua kutumia akili hiyo kwa kuhofia endapo utopolo fc wangeshinda kesi dhidi ya Bernard Morrison ina maana simba sports club ingekula kwao,ndiyo maana wakatumia akili hizo,
simba sports club walifanya hivyo bila kumshirikiisha aliyekuwa CEO wa club hiyo maana SENZO tayari walikuwa wameshakosa imani naye., kwa hiyo naomba ieleweke kwamba mkataba walionao utopolo fc ni feki.
asanteni
View attachment 1589063
Picha ambazo zinaonekana hapo chini za Bernard Morrison ambazo walipost simba sports club kabla ya kesi kumalizika pale tff zilikuwa danganya toto tu,
Bernard Morrison alikuwa hajasaini chochote katika club ya simba sports club hapo kwenye hizo picha hapo alikuwa anawazuga tu,utopolo fc,
Ukweli ni kwamba Bernard Morrison BM 3 alisaini simba sports club baada ya kesi yake kumalizika na yeye kuibuka mshindi,hizo picha hapo chini ndiyo mkataba walionao utopolo fc ambao wanadai kwamba unamapungufu na kweli unamapungufu maana ulikuwa feki,
kama utopolo fc wanautaka mkataba wa Bernard Morrison na simba sports club waende tff au FIFA wataukuta ule original huo walionao sasa waliingizwa chaka na simba sports club,
simba sports club waliamua kutumia akili hiyo kwa kuhofia endapo utopolo fc wangeshinda kesi dhidi ya Bernard Morrison ina maana simba sports club ingekula kwao,ndiyo maana wakatumia akili hizo,
simba sports club walifanya hivyo bila kumshirikiisha aliyekuwa CEO wa club hiyo maana SENZO tayari walikuwa wameshakosa imani naye., kwa hiyo naomba ieleweke kwamba mkataba walionao utopolo fc ni feki.
asanteni