Kuwa na usafiri binafsi Dar sio anasa bali ni nyenzo ya kazi; Hawa ni wasafiri wanasubiri usafiri wa Umma almaarufu kama Mwendokasi

Jamani huu upigaji picha hovyo mnaweza sababisha wenzenu tulale mzungu wa nne, kama unaishi Gongo la mboto mkeo anajua unauza matunda Buguruni halafu anakuona upo foleni ya kusubiri mwendokasi si balaa hilo
nalo neno
 
Back
Top Bottom