Odoemma
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 828
- 872
Sawa naona unakimbiaa ahahha
Mi mwanaume yeyote ili mradi handsome tu mwenye mvuto
Awe mweupe ,mweusii,maji ya kunde sawa tu ili mradi anivutie tu
Hapo umenenaEti nimekimbia lol! hahahaha ndiyo ukweli huo. Wote bomba sijaona tofauti na kama ulivyosema mvuto ni muhimu sana kuliko rangi ya mhusika . Huwezi kumkubali mwanaume kwa sababu tu ana rangi hii au ile na kwa mimi binafsi siwezi kuanza mtongozo kutokana na rangi tu ya mhusika. Kwanza kuwe na mvuto hilo la weupe, maji ya kunde/maharage, rangi ya chungwa au weupe wala halina umuhimu kihivyo. Nadhani nimeeleweka.
Hahahahahhq....Jose everest wapiiiiiiiiKweli kwenye maisha usikate tamaa,na mimi leo nimekuwa wa kwanza kucoment siamini!
Usiruhusu mtizamo wao ukuendeshe jikubali ,BLACK IS BEAUTIFULNyie ndo mnatufanya tujichubue.
teh teh teh,hamn bhana kugeuza Shingo imo mbona,hata muumba analijua ilo ndo maana halipo katika amri 10jaman tupo wengi! mie huwa nagEuza shingo jaman !hapana kwakweli wale wamenishika pabayaaaaaa! sasa sijui nahesabiwa 'NAZINI"?
hujawowa,..!!Niko hapa
Sijawowa mkuuuhujawowa,..!!
karibu,....maana nilitaka kueka bango langu la vigezo teh teh.Sijawowa mkuuu
Umefanya nicheke peke yangu bila kupendaKweli kwenye maisha usikate tamaa,na mimi leo nimekuwa wa kwanza kucoment siamini!
karibu,....maana nilitaka kueka bango langu la vigezo teh teh.
Nakujakaribu,....maana nilitaka kueka bango langu la vigezo teh teh.
Wee jamaa acha kuchekesha jamii mkuu ha ha ha haaaaKweli kwenye maisha usikate tamaa,na mimi leo nimekuwa wa kwanza kucoment siamini!
Usijichubue utaharibika sanaNyie ndo mnatufanya tujichubue.
Mhhhh kama kuna ukweli hivi ngoja nihakikisheWanawake wembamba ndo huwa wazuri na wanavutia sana kuwafanya wife.. Hata kama unatembea nae barabara unajihisi furaha moyoni.. Ila sasa ni wanaviburi alafu wakorofi balaa yaani kukusaliti haoni shida.. Tena ukute kembamba alafu alafu kana rangi ya chocolate... Uwiiiiiiiii hapo lazima ufe kabla ya siku ulizopangiwa na Mola.. Wanawake wembamba salam zenu popote mlipo ila punguzeni dharau baaaaasii
Sana mkuu. Hao weupe mi hamna kitu kabisa...Kwenye sayansi ya mapenzi, mwanamke black afu natural wanakuwa na stimu zao hivi.
Unaweza wehuka
Umeona mkuu...Wacha sisi tupambane na hawa black mamba wetu maana ni sisi wenyewe tunajua utam tunaopata. Kitu motooooooo kama jiko la mkaa