Kuwa na mke mwana siasa yataka moyo....

Chinga One

JF-Expert Member
May 7, 2013
11,433
12,282
Mara utasikia naenda iramba kueneza sera za chama,mara yuko amerika kwenye ziara ya kamati ya bunge akitoka amerika,atapitia "dubai kwa kazi maalum",hauja kaa sawa utasikia bunge la bajeti linaanza wiki ijayo,una angalia tv una muona wife mjengoni kaka pembeni ya "naibu katibu mkuu" kiroho kinadundaaa daaah,bunge linaisha unavuta pumzi mama anarudi nyumban, mara ziara ya katibu mkuu au mwenyekiti wa chama jimboni kwa mkeo ohoo, baada ya siku mbili kikao cha NEC dodomaaa....kama unajifanya una mapenzi ya dhati unaweza kufa mapemaaa kwa presha ila kama una lenga kutanua kitaa na ma V8 basi kua mpole tu.....

R.I.P Amina Chifupa &Mpaka Njia
 
kaka ww ni baba wa nyumban waweza zurura nae tu sio ishu. huon mama salma anavyozurura na mkulu wa kaya.
 
Maisha ni kuchagua, kama ww huwezi wenzio wanaeza, tena wapo wanaopenda kuwa huru kila mtu na time zake so, inakuwa vzr zaidi wakipata mtu wa dizaini hii
 
Ndio maana unapaswa kuwa na mwenza wa kufanana nae. Ukiwa mburula oa mburula mwenzio. Ukijiingiza kwa mwenye akili zake utajitia stress tu
 
Et mara kikao cha NEC hahaaahaaaaaaaaaa! NEC nn? ndo tunakamilisha usajili wa mkopo wa zzk aende kwny hiyo NEC then tutamrudisha.
 
Mara utasikia naenda iramba kueneza sera za chama,mara yuko amerika kwenye ziara ya kamati ya bunge akitoka amerika,atapitia "dubai kwa kazi maalum",hauja kaa sawa utasikia bunge la bajeti linaanza wiki ijayo,una angalia tv una muona wife mjengoni kaka pembeni ya "naibu katibu mkuu" kiroho kinadundaaa daaah,bunge linaisha unavuta pumzi mama anarudi nyumban, mara ziara ya katibu mkuu au mwenyekiti wa chama jimboni kwa mkeo ohoo, baada ya siku mbili kikao cha NEC dodomaaa....kama unajifanya una mapenzi ya dhati unaweza kufa mapemaaa kwa presha ila kama una lenga kutanua kitaa na ma V8 basi kua mpole tu.....

R.I.P Amina Chifupa &Mpaka Njia


Mkuu Chinga One mchokozi sana wewe. Mifano yooote umeona hapo kwenye red ndo panafaa?
 
Last edited by a moderator:
Maisha ni kuchagua, kama ww huwezi wenzio wanaeza, tena wapo wanaopenda kuwa huru kila mtu na time zake so, inakuwa vzr zaidi wakipata mtu wa dizaini hii

Yap... inaweza kua ni bora mwanasiasa cz kazi ya mtu sio tabia ya mtu... sasa ww mwenzangu na mimi unaweza kumwacha nyumbani akadandiwa na wauza magenge...
 
akishatoka America ( New York) na kupitia Dubai kwa kazi maalumu siku upo unaangalia bunge unaona mke wako mbunge wa kuteuliwa kapata skendo ya kutembea na mwenyekiti wa chama.

inauma sana
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom