toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Hakuna kitu kizuri kama kuwa na uhusiano na mwanamke au mwanaume ambaye ni rafiki
Huwa inatokea mwanaume na mwanamke wanakua marafiki wa ukweli na kujuana ndani na nje na uswahiba ulioshiba sasa wakiingia kwenye mahusiano asikwambie mtu hao watu wanakua wanaendana sana
Mahusiano yanayotokana na urafiki wa kushibana kati ya mwanaume na mwanamke ni mahusiano mazuri na marahisi ya kuyamudu maana mnakua mmeshibana na kujuana sana
Huwa inatokea mwanaume na mwanamke wanakua marafiki wa ukweli na kujuana ndani na nje na uswahiba ulioshiba sasa wakiingia kwenye mahusiano asikwambie mtu hao watu wanakua wanaendana sana
Mahusiano yanayotokana na urafiki wa kushibana kati ya mwanaume na mwanamke ni mahusiano mazuri na marahisi ya kuyamudu maana mnakua mmeshibana na kujuana sana